Nisaidie kwa hili

JIGOKU IKAYA

Member
Apr 29, 2017
38
45
Wanajamvi habariiii.....,. Mi kuna jambo linanisumbua. Eee bana natamani wanawake walionizidi umri. Nina miaka 26 tu. Wanawake 35-45 nawazimia sana. Lakini sina ujasiri wa kuwatokea kwa sababu nawaheshimu kwa umri wao. Kutoka MOYONI nawapenda mno. Wanajamvi naomba mwenye uzoefu na hawa anipe mbinu za kuwanasa. Natafuta mmoja tu kiu yangu tosha kabsaaaa. Karibuni.
 
bandika matangazo kwenye nguzo za umeme...kisha ulete mrejesh hapa
 
Una nyota ya kuitwa Baba wa kambo weye,Pesa unayo lakini wenzio ndio tunapohifadhi ATM zetu huko Mwisho wa mwezi ndio wanatulipa mshahara ila kazi tunafanya sisi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom