miminimkulimaakachekasana
JF-Expert Member
- May 29, 2017
- 3,263
- 4,709
naomba gharama za gesti za bei ya chini kwa wanaojua songea pamoja na mashamba kwasababu hili ndilo lengo langu kuu kwenda huko
yap we mwenyejiNyumbi ii Bombi ii...
tishaaaaGuest zipo nyingi na nzuri.pia cheap.kuanzia za 6000+tena mjini.elfu 15 sehem classic.
yeyote tu unaweza kukadiria bei yake kwa ekaMashamba ya kukodi au?
Guest ni buku 6 na kuemdelea
Simple tu..... ukiwa serious na ukakosa msaaada kabisa....naomba gharama za gesti za bei ya chini kwa wanaojua songea pamoja na mashamba kwasababu hili ndilo lengo langu kuu kwenda huko
Wakunyumba habari ja lilinuDuh!!! Nenda, mie kwetu huko mkuu. Lakini kuhusu mashamba sijui. Wakarimu mno jiandae na kidongo chekundu
Huyu mjasilia Mali usimpeleke ugabe au top one in mkuu.Ila songea ni mji ambao una guest house nyingi kuliko maelezo na cjajua kwa nnSongea guest ya chini kabisa ni 5,000 na lodge ni 10,000 mpaka 25000
Halafu kuna hotel ambazo zinaanza 25000 mpaka 150,000
Mashamba inategemea na eneo kuna mashamba ambayo hekari ni 80,000 kuna 100,000 na kuendelea kutegemea na shamba hasa eneo lilipo
Hotel ya 150K ni ipi mkuu?Papoki angalau na uzuri ule ndo kwanza 25k to 40k.Songea guest ya chini kabisa ni 5,000 na lodge ni 10,000 mpaka 25000
Halafu kuna hotel ambazo zinaanza 25000 mpaka 150,000
Mashamba inategemea na eneo kuna mashamba ambayo hekari ni 80,000 kuna 100,000 na kuendelea kutegemea na shamba hasa eneo lilipo
Wakunyumba, mwanalizombe. Za kuyumkaWakunyumba habari ja lilinu