mzee check thread iko jinsi ya ku unlock modem.pia specify modem ipi unatumia,huawei ama zte?
hata TZE unaweza kuichakachua kwa kutumia dc-unlocker.mwana i did all kwa kutumia dc unlocker huisemayo for huawei imework but 4 ZTE hakuna ndio maana naomba kama kuna software nyengine apart from that one
mwana i did all kwa kutumia dc unlocker huisemayo for huawei imework but 4 ZTE hakuna ndio maana naomba kama kuna software nyengine apart from that one
Fr ZTE download join air hapa
Join Air Software Informer: version 1.0 information
ukitaka kutumia line nyingine ambayo cyo ya vodacom,simply close dashboard ya vodacom,hakikisha hairun kabisa kwenye task,uwe umeexit it kabisa,,then weka lain yako nyingine,launch hii program ya join air kisha uconnect...kwa kutumia join air..
kwa mara ya kwanza jaribu kuconnect voda kwa kutumia joinair,thentoa voda line,weka nyingine like airtell and then connect kwa kutumia joinair...
it is not lazima kutoa firmware ya vodacom,couse ukitoa honestly itabidi udownload driver za modem tena,,because firmware ya join hainstall complete drivers kwa ajili ya modem..
mimi natumia joinair bila ya matatizo..and currenly am using AIrtell and zantel for my internet
kama kunaanayeweza nipa software au link ya ku unlock Modem za voda nisaidieni inanisumbua sana