NISAIDIe kubadilika please

The only

JF-Expert Member
May 19, 2011
10,374
13,320
ASLAM ALLEIKHUM WAHENGA !Asee katika maisha yangu naconfess nimewahi kuwa na ka uzuzu ka kufikili kumaliza mademu ni ujanja hivi karibuni
nimejikuta from no were nkitoka kazini duka la movie huyo home ,zamani daily ni baa nalala saa 8-10 asubuhi naika na hang over ,sasa nataka nitafute mchumba,nachoomba ni tips au namna ya kumpata mke mwema. Serious hii sihusishi kumendea JF chics.
 
kaka hapo umechanganya madesa, kajipange tena...vinginevyo tutakupa dozi isiyo sahihi!!!
 
mke mwema hutoka kwa mungu! Na kama kweli umebadilika soon mungu atakupa wa kufanana na wewe.
 
Mimi nimekuelewa kaka na mke mwema ni mimi maana nimetoka kwa Mungu. Jipendekeze tu uone
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom