The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 10,374
- 13,320
ASLAM ALLEIKHUM WAHENGA !Asee katika maisha yangu naconfess nimewahi kuwa na ka uzuzu ka kufikili kumaliza mademu ni ujanja hivi karibuni
nimejikuta from no were nkitoka kazini duka la movie huyo home ,zamani daily ni baa nalala saa 8-10 asubuhi naika na hang over ,sasa nataka nitafute mchumba,nachoomba ni tips au namna ya kumpata mke mwema. Serious hii sihusishi kumendea JF chics.
nimejikuta from no were nkitoka kazini duka la movie huyo home ,zamani daily ni baa nalala saa 8-10 asubuhi naika na hang over ,sasa nataka nitafute mchumba,nachoomba ni tips au namna ya kumpata mke mwema. Serious hii sihusishi kumendea JF chics.