Hivi nini kilisababisha kiwanda cha General Tyre kufungwa wakati kilikuwa kiwanda bora East Africa??au Wakenya walituhujumu??na lebo yao ya YANNA??
Kuna kundi la mafisadi wanataka wajiuzie kwa bei poa.
Nipo kwenye mazoezi hapa General tyre.
naendelea kusikitika tu.