nipokeeni wananzengo

INTROVERT MAN

JF-Expert Member
Aug 5, 2019
993
1,336
habari za wakti huu wapendwa.... kiufupi nimekuwa guest visitor wa jamii forums kwa kitambo kirefu tangu nimeijua sep.2017...kiukweli ni sehemu murua ambayo imenijuza mengi sana ambayo ni adimu kupata sehemu nyingine..natumaini nitazidi pata ushirikiano ksenu na kupanua zaidi mawanda ya ubongo wangu..
 
habari za wakti huu wapendwa.... kiufupi nimekuwa guest visitor wa jamii forums kwa kitambo kirefu tangu nimeijua sep.2017...kiukweli ni sehemu murua ambayo imenijuza mengi sana ambayo ni adimu kupata sehemu nyingine..natumaini nitazidi pata ushirikiano ksenu na kupanua zaidi mawanda ya ubongo wangu..
karibu
 
habari za wakti huu wapendwa.... kiufupi nimekuwa guest visitor wa jamii forums kwa kitambo kirefu tangu nimeijua sep.2017...kiukweli ni sehemu murua ambayo imenijuza mengi sana ambayo ni adimu kupata sehemu nyingine..natumaini nitazidi pata ushirikiano ksenu na kupanua zaidi mawanda ya ubongo wangu..
Karibu sana
 
Karibu sana jf. Muhimu ni kujiepusha tu na mambo ya uspartacus! Hatuyataki humu jf.
 
habari za wakti huu wapendwa.... kiufupi nimekuwa guest visitor wa jamii forums kwa kitambo kirefu tangu nimeijua sep.2017...kiukweli ni sehemu murua ambayo imenijuza mengi sana ambayo ni adimu kupata sehemu nyingine..natumaini nitazidi pata ushirikiano ksenu na kupanua zaidi mawanda ya ubongo wangu..
Duhhh
 
habari za wakti huu wapendwa.... kiufupi nimekuwa guest visitor wa jamii forums kwa kitambo kirefu tangu nimeijua sep.2017...kiukweli ni sehemu murua ambayo imenijuza mengi sana ambayo ni adimu kupata sehemu nyingine..natumaini nitazidi pata ushirikiano ksenu na kupanua zaidi mawanda ya ubongo wangu..
Duh....hill shati uvccm limekaa njema.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom