Nipokeeni mwenzenu.

Kigoma 2015

JF-Expert Member
Sep 19, 2011
371
93
Nawasalimu kwanza, wakubwa shikamoo, vijana wenzangu mabo vipi?.
Nimekuja tushirikiane ktk forum hii ili kwa michango na mawazo yetu hakika 2tajenga nchi ye2 kwa pamoja.
Asanten
 
Karibu sana, uliowakuta hapo barazani ni sangara, chatu dume na ndetichia. Umepata kinywaji?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom