fullcup
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 806
- 2,182
Watanzania wote poleni na msiba mzito ulioikumba nchi yetu kwa kuondokewa na Rais mstaafu.
Pongezi kwa CHADEMA kwa mapokezi ya mtia nia ya kugombea urais.
Niende kwenye mada
Ndugu watanzania Mimi fullcup nikiwa na akili timamu bila kushawishika na mtu nipo tayari kuuza kura yangu kwa chama kitakachonipa ajira kabla ya uchaguzi mkuu.
Ikumbukwe Mimi nimehitimu shahada ya Elim(B.A.Ed) mwaka 2015 na nimesugua benchi vyakutosha. Nimeambiwa nikajiajiri Mara nyingi na nimejaribu bila mafanikio. CCM mkitangaza ajira kabla ya uchaguzi kura yangu na jamaa zangu mtazipata zoooote, lakini nje ya hapo bora tumpe huyu huyu.
Niliona mmeandika kijitangazo eti waluojitolea waandikwe majina yaje ili iweje? Waliojitolea wengi ni sayansi kwa malipo kidogo ambayo hata nyinyi msingekubali. Bad enough wengine hata kujitolea tuongeze uzoefu tulikataliwa! Nipeni kazi mpate kura yangu na zetu.
Wahitimu wenzangu ndani na nje ya siasa wa mwaka 2015,2016,2017,2018 & 2019 wasipotuajiri tusiwape kura.
Pongezi kwa CHADEMA kwa mapokezi ya mtia nia ya kugombea urais.
Niende kwenye mada
Ndugu watanzania Mimi fullcup nikiwa na akili timamu bila kushawishika na mtu nipo tayari kuuza kura yangu kwa chama kitakachonipa ajira kabla ya uchaguzi mkuu.
Ikumbukwe Mimi nimehitimu shahada ya Elim(B.A.Ed) mwaka 2015 na nimesugua benchi vyakutosha. Nimeambiwa nikajiajiri Mara nyingi na nimejaribu bila mafanikio. CCM mkitangaza ajira kabla ya uchaguzi kura yangu na jamaa zangu mtazipata zoooote, lakini nje ya hapo bora tumpe huyu huyu.
Niliona mmeandika kijitangazo eti waluojitolea waandikwe majina yaje ili iweje? Waliojitolea wengi ni sayansi kwa malipo kidogo ambayo hata nyinyi msingekubali. Bad enough wengine hata kujitolea tuongeze uzoefu tulikataliwa! Nipeni kazi mpate kura yangu na zetu.
Wahitimu wenzangu ndani na nje ya siasa wa mwaka 2015,2016,2017,2018 & 2019 wasipotuajiri tusiwape kura.