Ndalilo
JF-Expert Member
- Jan 30, 2013
- 2,883
- 6,138
Mkuu, kumbukumbu ni jambo la msingi sana, .....wa wanyonge, kama unakumbuka alikula kwa mama ntilie pale airport, alifagia pale mwambaoni, alipanda pantoni kikawaida kabisa. Nini kikufanye udhani hawezi kupanda ALLYS? Kama vivo ndivyo, gharama hiyo ni ipi sasa?Hahahahaaaa hii nchi mambo yamekuwa magumu mpka wengine mnaanza kuwa wehu sasa........umesema upo tayar kumfanyia nini Ili aje kwenu????????????
Jamaa amemuomba kinyonge, bila shaka anaweza kwenda KINYONGE.