Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
<br />Nilijua wewe bajabir
<br />Hana haja ya kusubiri tume. Kwa heshima heshima ya viumbe waliopoteza maisha bila hatia, anapaswa kuondoka. Kusubiri tume ni kusubiri huruma ambayo hastahiki. Aondoke!
<br />Husninyooooo.....hahahaaa mimi hata nyumba niliyopanga sina hata ukiranja wa kukusanya LUKU<br /><br />
<br />
<br /><br /><br />
<br /><br />
hahahaha! Jeief hii, isije kuwa mheshimiwa sana bana!<br />
Mheshimiwa usijiuzulu aisee.
<br />Anasubiria tume ? nini maana ya kujiuzuru sasa ?<br />
Kama tume ikionyesha ana kosa , huyo si wa kujiuzuru tena , bali wa KUFUKUZWA
Sasa ndio wakati wa kuwapima viongozi, hasa Mh. Shein na Maalim Seif Hamad kama kweli wanastahili sifa.
Mkuu siwahukumu isipokuwa najua fika kwamba hakuna mtu atakaye jiuzulu bila shinikizo kutoka kwa hawa watu wawili. Na kutoka huku bara au niseme serikali ya Muungano, hakuna mtu anayeweza kuzungusha hata neno moja woote wana imani za kichawi zaidi...Nakumbuka enzi za mwalimu, Mzee Mwinyi Mzanzibar alikubali kuwajibishwa ktk swala lililotokea Shinyanga na hakuondoka peke yake...Si vizuri kuwahukumu hawa tu kwani uzembe wa viongozi wetu wote ndio utamaduni wetu. List ya ajali za barabarani zilizotokea Tanzania tangu MV Bukoba ni ndefu sana lakini utaona kuwa zote zinajirudia kila kukicha. Tiba ya ugonjwa wetu siyo kunywa apsirini na kuendelea na shughuli za kila siku, bali tunahitaji operation na kulazwa wodini kwa muda wa siku kadhaa kabla hatujaanza shughuli zetu tena.
Kwa kuweka rekodi sawa, Mwinyi hakuwajibishwa, aliwajibika. Na barua ya kujiuzulu ilisifika kwa kiswahili fasaha alichotumia. Ni aghalabu sana viongozi wa Afrika kuwajibika kwa kujiuzulu, Mwinyi aliweka mfano Tanzania.Mkuu siwahukumu isipokuwa najua fika kwamba hakuna mtu atakaye jiuzulu bila shinikizo kutoka kwa hawa watu wawili. Na kutoka huku bara au niseme serikali ya Muungano, hakuna mtu anayeweza kuzungusha hata neno moja woote wana imani za kichawi zaidi...Nakumbuka enzi za mwalimu, Mzee Mwinyi Mzanzibar alikubali kuwajibishwa ktk swala lililotokea Shinyanga na hakuondoka peke yake...
<br />Waziri wa miundombinu wa zanzibar hamad masud mh.Hamad Masudi amesema yupo tayari kujiuzuru<br />
Sosi:bbc