Mkomawatu
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 267
- 118
Habari zenu ndugu wadau wa JF,nikiwa kama kijana mzalendo wa nchi hii na ambaye ninakereketwa na maendeleo duni ya wilaya yangu ya Kilosa,mkoani Morogoro na wilaya nyinginezo zilizo nyuma kimaendeleo nchini,natangaza rasmi kuwa nipo tayari kutoa mchango wangu wa mawazo na hata vitendo kwa wananchi wenzangu,viongozi wa vyama vya siasa na hata asasi za kiraia ili kuona mabadiliko yanapatikana,nawahakikishia kuwa nipo tayari kwa lolote na atakayetaka kuungana nami awe na dhamira ya uzalendo kwa umma na si vinginevyo.Naomba kuwasilisha hoja.