Glenohumeral joint
JF-Expert Member
- Oct 29, 2017
- 2,054
- 2,885
Mm natumia 30k tu na ninaishi......
Kutumia mangi, kupunguza tenaUmsaidie vipi?
Kutumia hiyo ela?
Kumsaidia kupunguza matumizi?
Watoto wa kishua hao. Hawajuhi hizo mambo venyewe sisi hufanya huku magetoni.Hayo matumizi mbona yapo juu sana mkuu, unataka ununue vitu vyote kama unaishi na demu babu.
Deile nunua visamaki vya buku vile au misumari (dagaa), nyanya. Monthly nunua kitunguu, mafuta na unga wa ugali tu. Hivyo ndio masela tunavyoishi!
Sasa we unataka ununue hadi hoho,binzari, letuce,gilgilani magetoni!? Utakwama tu!!!
Maji gani hayo yanayouzwa lita 3 sh 17,000?? Maji ya zamzam au?Maji Lita 3 .....17000/=!!!!!!!
Hiyo ilikua mwanzo wa mwezi utuonyeshe na ya tarehe 17 mpaka 23
mwache tu ampelekee Mzee wa upako siku akienda kuhojiwa anasema wahumini masikini ni wapumbavu😂😂Futa sadaka weka mchele.....
Weka utaratibu huu natumaini unalo fridge
Mchele kg 10 (16,000 - 22,000) - humalizi kwa mwezi
Samaki sato kg 2 (20,000)-utagawa kwa siku 4 (funga separate)
Nyama kg 2 (12,000) - siku 8 (1/4
Kg kwa siku)
Kuku 2 (15,000) - siku 4 (1/4 per day)
Nyanya sado 1 (4000-5000)
Vitunguu sado 1 (3000)
Bamia, hoho, karoti - (6,000)
Mafuta lita 3 - (17,000)
Tambi 2 (3000)
Unga kilo 5 - (10,000)
Maharage kilo 2 - 4000
Viazi ndoo ndogo - 7000
Na vingine vidogo vidogo - 15,000
Jaza fridge lako hapo unatoboa mwezi hayo mengineyo akili kumkichwa
Inaonesha unazo! Kwa wiki itakayofuata utanunua mahitaji haya au pengine yanatumika kwa mwezi au wiki kadhaa?View attachment 1122082
Kama picha inavyojionesha ndugu, wenye uzoefu na ujuzi nipeni maoni na ushauri, taie home 500
Huoni nimeshangaa mkuu.... Kuna mtu kaandika hapo maji 17,000/= ndo nilikuwa namshangaa...Maji gani hayo yanayouzwa lita 3 sh 17,000?? Maji ya zamzam au?
Ya dawasco hayafai?
Unatakiwa UOLEWE sasa,View attachment 1122082
Kama picha inavyojionesha ndugu, wenye uzoefu na ujuzi nipeni maoni na ushauri, taie home 500
Safi braza.... Dawa ya mjinga ni kuumia tu.hivi tango sio tunda !???
Anyway, ongezea na maji ya kunywa 97,000 na juice 89,000 , pia kuweka bajeti ya nguo bila viatu sio poa, vuta hata sneaker moja ya 73,000
Hiyo sadaka kama upo ForexMaji Lita 3 .....17000/=!!!!!!!
Tafita demu akili ikae sawa mzee baba.View attachment 1122082
Kama picha inavyojionesha ndugu, wenye uzoefu na ujuzi nipeni maoni na ushauri, taie home 500
Vp km hiyo sadaka anasaidia wasiojiweza??? maana hajaspecify....Nina miaka 11 sijawahi toa sadaka!!
Ondoa sadaka kwanza, mana unalisha walioshiba!!.