bluetooth23
JF-Expert Member
- Apr 8, 2013
- 348
- 324
Wakuu nawasalimia, wengne muda huu mpo nyumbani, wengne mpo viwanjani tayari kula bata. Leo nitaufurahia ucku huu na mtoto mzur sana na maarufu mno ktk jukwaa la MMU ndani ya JF. Wengi wenu mnamfahamu sana tena sana kwa ID yake na post zake na weng mnataman kumuona na mmesham-PM sana mktaka kumit naye. Nimehangaika sana kumpata na leo npo ndan ya Regency Hotel Park hapa mikochen nitakula naye raha ucku wote. Kwa hiari yetu kabisa tulikuwa AAR mchana tukapima afya zetu na baada ya kuridhka na usalama wa afya zetu basi tukajimwaga mjengoni. Hakika ni mzuri huyu mdada, najua atasoma uzi huu aone ninavyomcfia kwa kiuno chake kzuri, kfua kzuri, umbo zuri, kwa sura ndo kama malaika. Hakika huyu mtoto ni mzuri. Amenidokeza kuwa kesho kuna uzi matata sana ataupost kwa ajili yangu na weng mtamfaham. Jamani kuanzia kesho ataweka uhusiano wetu wazi na muwe na heshma na shemeji yenu huyo, ni maarufu sana jukwaa la MMU na weng mnamfaham na wengne mnamuita binamu. Ucku mwema wakuu.