Nipo Regency Hotel chumbani muda huu na mtoto mzuri sana maarufu wa MMU ya JF

Status
Not open for further replies.

bluetooth23

JF-Expert Member
Apr 8, 2013
348
324
Wakuu nawasalimia, wengne muda huu mpo nyumbani, wengne mpo viwanjani tayari kula bata. Leo nitaufurahia ucku huu na mtoto mzur sana na maarufu mno ktk jukwaa la MMU ndani ya JF. Wengi wenu mnamfahamu sana tena sana kwa ID yake na post zake na weng mnataman kumuona na mmesham-PM sana mktaka kumit naye. Nimehangaika sana kumpata na leo npo ndan ya Regency Hotel Park hapa mikochen nitakula naye raha ucku wote. Kwa hiari yetu kabisa tulikuwa AAR mchana tukapima afya zetu na baada ya kuridhka na usalama wa afya zetu basi tukajimwaga mjengoni. Hakika ni mzuri huyu mdada, najua atasoma uzi huu aone ninavyomcfia kwa kiuno chake kzuri, kfua kzuri, umbo zuri, kwa sura ndo kama malaika. Hakika huyu mtoto ni mzuri. Amenidokeza kuwa kesho kuna uzi matata sana ataupost kwa ajili yangu na weng mtamfaham. Jamani kuanzia kesho ataweka uhusiano wetu wazi na muwe na heshma na shemeji yenu huyo, ni maarufu sana jukwaa la MMU na weng mnamfaham na wengne mnamuita binamu. Ucku mwema wakuu.
 
Hamjapima! Usisahau salama!! Kama nyama Kwa nyama basi chinjaneni salama. Ni hayo tu!!
 
Haya kila la kheri mkuu!! Ila wengi wanaingia kwa matarumbeta na mbwembwe lakn wanajitoa kimya kimya kama wamemwagiwa maji baridi.....
 
Utakuwa ume~access jini through bluetooth kaka! Ukidamka salama umshukuru sana Mungu.
 
Umri wako please! Unaonyesha kama ni mgeni na limbukeni wa mambo hayo! Kwani boom la chuo lileshatoka?
 
Akumbukue kuvaa kinga walau dah jamani dunia hii mhhh utandawazi huu utawapeleka vijana pabaya!

ukijaribu kufikir kwa umakin utagundua ni njia moja ya kuwadhalilisha wanawake wote wa MMU na kwamba anania ya kutufunga mdomo.................
am sure hili ndio lengo lake na kama kweli mods watalinyamazia ntashangaa sana...........

nimeamini uhuru wa mwanamke utachukua muda sana..........simtofautish huyu bluetooth na mr punch wa miaka ile pale UDSM
 
Na ukishammwaga mje mchambane humu humu wapii Mr.Gentlemen njoo huku kuna mtu atakaribia kubadili Id
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom