Shomari
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 1,112
- 241
Rais akiagana na dada aliyekuwa mhudumu wake katika hoteli hiyo.
Nimeshindwa kuelewa mbona huyo dada kamtazama membe kama ana ugomvi naye? au wewe unaonaje? dah! hata hivyo Rais wetu anafaidi sana akiendaga huko . cheki hilo jimama lilivyoumbika mpaka bodigadi wa kikwete wanajikanyaga , badala ya kumlinda kikwete wao wanalinda lijimama. duh!