Jf Ni Sehemu Ya Burudani Na Elimu Lakini Humu Jf Kuna Mijitu Ina Kiwango Kingi Cha Adrenaline Ktk Figo Zao Inapondaponda Tu Imejawa Na Msongo Kazi Karaha Tu Haijui Hata Kufurahi Yaone Kumbuka Jf Ni Ya Wote Si Yako Peke Yako
Usisahau kutuletea handas la Hedaru liko poa sana sio chungu km handas la same huko,ila angalia hpo mombo unaweza kula mbavu za mbwa usipokua makini...Wadau Nipo Mombo Hapa Navunja Mbavu Za Kuchoma Discover Langu Linaoshwa Mavi Ya Ndege Yani Raha Tu Sijasimamishwa Hata Na Wauza Machungwa Wala Yange Yange Nasepa Hedaru Kwa Rafiki Yangu Karibuni
Hahaa anamiliki Discovery halafu anatafuta kazi ngumu ngumu. Uongo ni kipaji.
Nimemuuliza hajajibuHahaa anamiliki Discovery halafu anatafuta kazi ngumu ngumu. Uongo ni kipaji.
Akijibu nitag
Hahaha sawaAkijibu nitag
Mwanangu ifurahie pesa kabla hujaipangia matumiz,wa2 tulisoma kwa shda mpaka tumekuwa madingi dhiki haziish tu...yafurahie maisha kama umeyafumania,Ila umenikumbusha ile bar ya Liverpool na ile conner Kali ya Mombo kwenye daraja kama unatokea K'njaro baada ya kuivuka hyo conner ndy unaingia hapo wanapochoma nyama
Kula raha mkuu Discovery muungurumo wake ni raha tu,gari ya kiume hiyo, kula bata nasema tena kula bataaaJf Ni Sehemu Ya Burudani Na Elimu Lakini Humu Jf Kuna Mijitu Ina Kiwango Kingi Cha Adrenaline Ktk Figo Zao Inapondaponda Tu Imejawa Na Msongo Kazi Karaha Tu Haijui Hata Kufurahi Yaone Kumbuka Jf Ni Ya Wote Si Yako Peke Yako
Joseverst wewe kiboko! Nilifikiri kweli maneno yake Jeeeez!