Nipo kwenye semina ya ndoa, hamna mwanamke mwenye chura hapa

BABA TUPAC

JF-Expert Member
Sep 30, 2015
1,527
3,801
Declaration of interest: Mimi 'natamani sana' wanawake wenye chura lakini mke wangu mtarajiwa hana chura na ninapenda sana.

Wakuu,

Nipo kwenye semina ya ndoa ambapo kwa Dar nzima dhehebu letu la Roman Catholic huwa tunafanyia Msimbazi Centre.

Mafunzo huanza Jumamosi na kuisha Jumapili, kwa msioelewa ni kwamba kwa RC huwezi kufunga ndoa bila kupitia mafunzo haya.

Kwa haraka haraka hapa, kuna wanaume na wanawake wasiopungua mia. Hivyo si chini ya wanawake hamsini wapo hapa wanategemea kufunga ndoa mwezi huu wa 12 ila cha ajabu ni kwamba hakuna hata mwanamke mmoja mwenye chura.

Wanawake wenye chura wanavutia kuwaangalia tu au kuwaonja siku moja moja.
 
Wanawake wenye mikia wanaojielewa ni wachache, wengi hawana akili kabisa. Akili zote ziko kwenye makalio.

Yani hawana kitu cha ziada cha kutoa zaidi ya makalio. Sasa ndoa na mahusiano endelevu ni zaidi ya makalio.

Mimi napenda sana wanawake wenye makalio makubwa ila kumpata mwenye makalio makubwa na akili kichwani ni kazi sana, wengi hawana kitu kichwani kabisa. Naishia kuwatafuna tu basi.
 
Wanawake wenye mikia wanaojielewa ni wachache, wengi hawana akili kabisa. Akili zote ziko kwenye makalio.

Yani hawana kitu cha ziada cha kutoa zaidi ya makalio. Sasa ndoa na mahusiano endelevu ni zaidi ya makalio.

Mimi napenda sana wanawake wenye makalio makubwa ila kumpata mwenye makalio makubwa na akili kichwani ni kazi sana, wengi hawana kitu kichwani kabisa. Naishia kuwatafuna tu basi.

Noma sana
 
Wanawake wenye mikia wanaojielewa ni wachache, wengi hawana akili kabisa. Akili zote ziko kwenye makalio.

Yani hawana kitu cha ziada cha kutoa zaidi ya makalio. Sasa ndoa na mahusiano endelevu ni zaidi ya makalio.

Mimi napenda sana wanawake wenye makalio makubwa ila kumpata mwenye makalio makubwa na akili kichwani ni kazi sana, wengi hawana kitu kichwani kabisa. Naishia kuwatafuna tu basi.
Daah....kama kweli vile mkuu! Hapa kazini wapo wawili na mivyura yao but kichwani empty kabisaaa.Ni kuongea uharo tuu saa zote!
 
Back
Top Bottom