Mimi nimeolewa nina karibia miaka miwli, sasa mume wangu hataki watoto. Nimebeba mimba tatu na zote amesema hataki na ikabidi nitoe kwa sababu ya upendo na upuuzi wangu.
Sababu anazotoa ni kwamba bado hajajipanga kimaisha, na tuna maisha ya kawaida ambayo tunaweza kabisa kumudu gharama zote za mtoto.
Je, ni sawa?
Sababu anazotoa ni kwamba bado hajajipanga kimaisha, na tuna maisha ya kawaida ambayo tunaweza kabisa kumudu gharama zote za mtoto.
Je, ni sawa?