James sait patrick
Member
- Jun 4, 2017
- 8
- 18
Huo sasa ndo umalaya
Post sent using JamiiForums mobile app
Post sent using JamiiForums mobile app
Unajuaje hagongwi?Endelea kuiweka ndoa yako hatarini mkuu. Siku mkeo naye akiamua akagongwe na wanaomtongoza nadhani usijemind.
Unajuaje hagongwi?Endelea kuiweka ndoa yako hatarini mkuu. Siku mkeo naye akiamua akagongwe na wanaomtongoza nadhani usijemind.
Endelea kuiweka ndoa yako hatarini mkuu. Siku mkeo naye akiamua akagongwe na wanaomtongoza nadhani usijemind.
Nimemtafuta kimya kimya na nikamweleza kama wanatusingizia uzushi wa aina hiyo na wakati hakuna kweli kwanini tusifanye kabisa? Nae kanielewa na kilichobaki ni kutafuta fursa ya muda tuu nikapige mechi.
Utakuwa mwanachama nguli wa chadema si bure!Salaam wadau,
Naombeni ushauri,
Nilikuwa na urafiki wa kawaida na binti mmoja. Nilipokuwa kwenye harakati za kuoa alikuwa bado ni mtu wa karibu kwangu na kwa mke wangu. Ukaribu wangu kwa huyu binti ulifikia hatua hata mke wangu akamtumia kama msimamizi katika sendoff yake.
Baada ya harusi mke wangu alianza kupata maneno ya kwa majirani kuwa huyu binti alikuwa anatembea na mumeo kitu ambacho mke wangu alimpiga huyu binti na hata nilipomweleza kuwa sina uhusiano nae wa kimapenzi. Nilisikitika sana kwa mdada wa watu kupewa tuhuma na kupigwa bila ukweli na sababu za msingi.
Nimemtafuta kimya kimya na nikamweleza kama wanatusingizia uzushi wa aina hiyo na wakati hakuna kweli kwanini tusifanye kabisa? Nae kanielewa na kilichobaki ni kutafuta fursa ya muda tuu nikapige mechi.
Wadau mnashauri nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani kwa sababu umesingiziwa basi na wewe umeamua kufanya kweli,acha ujinga ndugu utaharibu ndoa yako bure.Kumbuka pia kwamba zinaa ni dhambi mbaya sana.Mkuu unachotafuta wewe ni uadui na Mungu,na nakuhakikishia kwamba katika mazingira hayo,unless you repent you won't survive for too long.Salaam wadau,
Naombeni ushauri,
Nilikuwa na urafiki wa kawaida na binti mmoja. Nilipokuwa kwenye harakati za kuoa alikuwa bado ni mtu wa karibu kwangu na kwa mke wangu. Ukaribu wangu kwa huyu binti ulifikia hatua hata mke wangu akamtumia kama msimamizi katika sendoff yake.
Baada ya harusi mke wangu alianza kupata maneno ya kwa majirani kuwa huyu binti alikuwa anatembea na mumeo kitu ambacho mke wangu alimpiga huyu binti na hata nilipomweleza kuwa sina uhusiano nae wa kimapenzi. Nilisikitika sana kwa mdada wa watu kupewa tuhuma na kupigwa bila ukweli na sababu za msingi.
Nimemtafuta kimya kimya na nikamweleza kama wanatusingizia uzushi wa aina hiyo na wakati hakuna kweli kwanini tusifanye kabisa? Nae kanielewa na kilichobaki ni kutafuta fursa ya muda tuu nikapige mechi.
Wadau mnashauri nini?
Sent using Jamii Forums mobile app