Inna
JF-Expert Member
- Jan 13, 2017
- 11,188
- 27,043
Haya nashukuru kukufahamu
Haya nashukuru kukufahamu
Vieepe yaiMianaume ya Dar yani ni mioga sijapata kuona,sasa hicho kivulana ndio unaliita lijamaa?sasa ukionana na mijamaa ya huku kwetu Mara utaiitaje?alafu wewe ndiye upo nalo humo ndani ya gari why usilipe vitasa tu mmalizane ili kila mtu afe na chake?au unakaogopa?
Nimepanda bas la kapricon kutoka mwanza duuh kama vile nipo gulio la ngombe
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukitaka kujua kama mtu anasoma msg zako unaandika humu ndani nimemuona mtu mmoja wa Kibiti sijui anataka kutufanya nini utaona atakavyokuwa na wasi wasi,unaweza kushangaa akasema yupo wapi huyo mtu.Wakuu hili lijitu linasoma msg zangu,
Lenyewe limekosa nafasi ya kukaa badala liangalie miti inavyokimbia nje linaangalia simu yangu, nimfanyeje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani simu yangu ni microfinance ? Maana kwa anavyoitazama ni kama vile amepata pa kukopa eee akamalize shida zakeKuangalia simu haina maana ni kusoma msg tu! huenda huyo mtu alikua kweli anatizama simu yako bali akili yake ilikua mbali akitafakari ugumu wa maisha,
Mianaume ya Dar yani ni mioga sijapata kuona,sasa hicho kivulana ndio unaliita lijamaa?sasa ukionana na mijamaa ya huku kwetu Mara utaiitaje?alafu wewe ndiye upo nalo humo ndani ya gari why usilipe vitasa tu mmalizane ili kila mtu afe na chake?au unakaogopa?
Kwanini usingemwambia huko huko kwenye basi badala ya kuja kumpost huku JF?Kwani simu yangu ni microfinance ? Maana kwa anavyoitazama ni kama vile amepata pa kukopa eee akamalize shida zake
Sent using Jamii Forums mobile app
Sorry,huyo wa kwenye avatar ndio wewe?Nimepanda bas la kapricon kutoka mwanza duuh kama vile nipo gulio la ngombe
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa mkuu kama huyo unaanzaje kumuuliza wakati wewe umekaa yeye amesimama ,hebu tusaidiane kupeana mbinu basi ambazo kama ni wewe ungezitumia.Mianaume ya Dar yani ni mioga sijapata kuona,sasa hicho kivulana ndio unaliita lijamaa?sasa ukionana na mijamaa ya huku kwetu Mara utaiitaje?alafu wewe ndiye upo nalo humo ndani ya gari why usilipe vitasa tu mmalizane ili kila mtu afe na chake?au unakaogopa?
K'koo!Dar wapi daladala inapita barabara ina miti mingi pembezoni?
Ulimuona huyu bibie kumbe? Ana chura ee?