Asante ndugu!MV liemba ni meli kongwe kuliko zote Duniani ambayo bado inafanya Kazi regularly na sio Africa mashariki na kati kama ulivyosema.
Sent using Jamii Forums mobile app
ok sir i forgive you even me im not mzungu,dont forget to upload them when you are at right place/situation.I can't upload here. Nisamehe mkuu, mimi siyo mzungu!
Ama Haupo Kigomaha ha ha! Wewe bwana!
Ndakubhonye MtamaNdiyo mkuu, jewe ndi umuntu wikigoma indani nyene idya.
Mwidiwe MtamaNdiyo mkuu, jewe ndi umuntu wikigoma indani nyene idya.
Siku ikiwamwaga utaanza sikia oooh meli ilikuwa imekwisha muda wake toka mwaka 1990. Utasiki maneno mengi na watu kuvuliwa uongozi over hawakuwa wanaionaInaniuma sana mimi kama mwananchi mzalendo kabisa ninayeipenda Tanzania yangu na vyote vitu vilivyomo kwa dhati.
Leo hii meli kongwe, kongwe sana, Afrika mashariki na kati! "Imetelekezwa hapa pembezoni mwa ziwa Tanganyika"
Mimi najiuliza, ni hela hamna? Uongozi/Usimamizi mbovu? Au nini tatizo?
Ni ajabu kweli, mpaka ndani yameanza kuota majani, Ni aibu!
Nimepata ubuyu hapa mjini kuwa, Burundi inajiandaa kumwaga meli za kutosha hapa ziwa tanganyika!
Stay Tune!
Ni katika safari yangu ya kuja dar kutafuta hela na maisha walau mazuri kiasi.
Kaka Mshana Jr Ninakuja mdogo wako, nipokee kwa mikono miwili, japo wengi walinibeza na kunitukana hapa Jamvini, Asante.
Nakuja tufanye kazi ndugu!
kigoma ulifata unga wa miti(mizizi)?Inaniuma sana mimi kama mwananchi mzalendo kabisa ninayeipenda Tanzania yangu na vyote vitu vilivyomo kwa dhati.
Leo hii meli kongwe, kongwe sana, Afrika mashariki na kati! "Imetelekezwa hapa pembezoni mwa ziwa Tanganyika"
Mimi najiuliza, ni hela hamna? Uongozi/Usimamizi mbovu? Au nini tatizo?
Ni ajabu kweli, mpaka ndani yameanza kuota majani, Ni aibu!
Nimepata ubuyu hapa mjini kuwa, Burundi inajiandaa kumwaga meli za kutosha hapa ziwa tanganyika!
Stay Tune!
Ni katika safari yangu ya kuja dar kutafuta hela na maisha walau mazuri kiasi.
Kaka Mshana Jr Ninakuja mdogo wako, nipokee kwa mikono miwili, japo wengi walinibeza na kunitukana hapa Jamvini, Asante.
Nakuja tufanye kazi ndugu!