Nipo katika kipindi kigumu sana..naombeni ushauri

binam0

Member
Dec 31, 2017
7
4
Hodi wadau wa JF. Nami nimekuja hapa kwa mara ya kwanza nikiomba ushauri.

Nimepata mpenzi mwaka jana mwishoni mwa mwaka (penzi letu bado changa kama miezi 3). Tumebaatika kupendana sana kwa dhati japo changamoto ni kila kukicha. Tatizo kubwa ni umbali (long distance relationship) kati yetu kitu ambacho kina challenge sana uaminifu wetu.

Tuna malengo ya maisha ya ndoa hapo baadae na tunaheshimiana sana. Yupo kwenye himaya yangu na familia yake na baadhi ya ndugu wakaribi wanajua yupo katika matunzo yangu japokua bado sijajitambulisha kwao rasmi. Namgharamikia matunzo yake yote na hakosi kitu kutoka kwangu.

Hivi karibuni amepata mashosti na tabia zao sijazipenda kwani naogopa watampotosha na tayari wameshaanza kumshawishi vibaya. Wasiwasi wangu ni kwamba nisipolishughulikia hili jambo tunaweza pishana na penzi likafa.

Tumeshapitia mambo mengi sana katika muda huu mfupi na kinachotusaidia ni kwamba tunaupendo wa dhati na tayari tunamalengo. Changamoto bado ni nyingi lakini ukweli utabaki palepale kuwa nipo mbali naye na naogopa hao marafiki watampotosha. Natarajia kuitwa baba (bado ni siri yetu) kwa hiyo nisingependa tugombane ukizingatia mtoto yupo njiani atahitaji matunzo yetu sote.

tumepishana kwenye:-

Dini ( Dini zetu tofauti)
Age (5yrs+ age difference, nimemzidi kiumri)
Elimu (mimi ni Graduate na yeye kaishia secondary school)

Nataka kurudi nyumbani ili tuwe wote lakini kwa sasa ni ngumu kwa sababu bado nachuma chuma kwa ajili yetu hapo baadae. Na tulishaongea kuwa ndani ya mwaka nitarudi lakini kasi ya hao mashosti inanipa wakati mgumu sana.

Nimeelezea juu juu tu ili mpate picha kamili lakini napitia wakati mgumu sana kwa kipindi hichi maishani mwangu. Ningeshukuru sana mawazo yenu manake kwa sasa nipo kivyangu vyangu hata wakumshirikisha nipate ushauri simuoni. Naogopa kufanya maamuzi yakaja niponza baade nifeli kote.
 
Umejaribu kusikia upande wake, mkanye kuhusu marafiki, mahusiano ya mbali yanahitaji uvumilivu wa hali ya juu, jaribu kumrekebisha
 
Hapa ni mhimu msikilize yeye anasema nini. mtu kuwa na marafiki wabaya haimanishi nae atakuwa mbaya japo mara nying inakuwaga ivo. Kama anakupend na kujua ww ni nan kwake atakucklza tu Na swala la kuwa mbali na mahusiano yenu si shida kabsaa binafc nmeyapitia kwny uchumba 4yrs na bado nayapitia kwny ndoa.
jenga hoja na mungu wako na fanya kazi kwa utulivu, mambo yatakuwa sawaa vlevle weka mda wa kutosha kwake na usimjengee mazingira akakuhishi vibaya awapo mbali nawe, muase na kumshaur,zaid msikilize nae ana maoni gani.
 
Duu,,mna miezi mitatu tu lakini tayari mna malengo na mimba tayari,,Mimi naona ni mapema sana kujicomit kwa mtu ndani ya miezi mitatu,, hamjajuana bado kbsaaa,, tena mko mbali mbali ivo,,,kiufupi bado hujamjua rangi zake zote,,hao mashost unawasingizia bure usikute yy ndo anashida
 
Mwanaume Wa kweli hawezi gharamia mwanamke ambaye hajamuoa

LA sivyo atampa balashishi tu yaani marupurupu na siyo kugharamia


Mwanaume haishi kwa hisia anaishi kwa upendo na uhalisia

Mwanaume anauweza Wa kudhibiti hisia na kuishi katika utashi yakinifu.

Mtu hata kuchumbia bado kwa hufahamiki umeshaaanza kughalamia kila kitu yaani hufai kuitwa mwanaume we ni kivulana


Gharamia kama hawala yako tu na kama ukitokea ukamuoa ni bahati chocho
 
Wasiwasi wako ni kwamba usipolishughulikia unaweza kupishana na penzi.

Nimechukua mstari mmoja katika story yako. Nami sina haja ya kukushauri tena fanyia kazi hicho ulicho andika
 
Duu,,mna miezi mitatu tu lakini tayari mna malengo na mimba tayari,,Mimi naona ni mapema sana kujicomit kwa mtu ndani ya miezi mitatu,, hamjajuana bado kbsaaa,, tena mko mbali mbali ivo,,,kiufupi bado hujamjua rangi zake zote,,hao mashost unawasingizia bure usikute yy ndo anashida
nakazia
 
Hodi wadau wa JF. Nami nimekuja hapa kwa mara ya kwanza nikiomba ushauri.

Nimepata mpenzi mwaka jana mwishoni mwa mwaka (penzi letu bado changa kama miezi 3). Tumebaatika kupendana sana kwa dhati japo changamoto ni kila kukicha. Tatizo kubwa ni umbali (long distance relationship) kati yetu kitu ambacho kina challenge sana uaminifu wetu.

Tuna malengo ya maisha ya ndoa hapo baadae na tunaheshimiana sana. Yupo kwenye himaya yangu na familia yake na baadhi ya ndugu wakaribi wanajua yupo katika matunzo yangu japokua bado sijajitambulisha kwao rasmi. Namgharamikia matunzo yake yote na hakosi kitu kutoka kwangu.

Hivi karibuni amepata mashosti na tabia zao sijazipenda kwani naogopa watampotosha na tayari wameshaanza kumshawishi vibaya. Wasiwasi wangu ni kwamba nisipolishughulikia hili jambo tunaweza pishana na penzi likafa.

Tumeshapitia mambo mengi sana katika muda huu mfupi na kinachotusaidia ni kwamba tunaupendo wa dhati na tayari tunamalengo. Changamoto bado ni nyingi lakini ukweli utabaki palepale kuwa nipo mbali naye na naogopa hao marafiki watampotosha. Natarajia kuitwa baba (bado ni siri yetu) kwa hiyo nisingependa tugombane ukizingatia mtoto yupo njiani atahitaji matunzo yetu sote.

tumepishana kwenye:-

Dini ( Dini zetu tofauti)
Age (5yrs+ age difference, nimemzidi kiumri)
Elimu (mimi ni Graduate na yeye kaishia secondary school)

Nataka kurudi nyumbani ili tuwe wote lakini kwa sasa ni ngumu kwa sababu bado nachuma chuma kwa ajili yetu hapo baadae. Na tulishaongea kuwa ndani ya mwaka nitarudi lakini kasi ya hao mashosti inanipa wakati mgumu sana.

Nimeelezea juu juu tu ili mpate picha kamili lakini napitia wakati mgumu sana kwa kipindi hichi maishani mwangu. Ningeshukuru sana mawazo yenu manake kwa sasa nipo kivyangu vyangu hata wakumshirikisha nipate ushauri simuoni. Naogopa kufanya maamuzi yakaja niponza baade nifeli kote.
Mkuu Katika hivyo vyote ulivyotaja mi naona changamoto ni hiyo ya dini, Tafadhari ishughulikie mapema zaidi ieleweke kabisa nani anamfata mwenzake au kama mtaishi kiserikali. Nakwambia hivyo kwa sababu mi ni muhanga wa hyo kitu na ilinicost sana!
 
Mkuu Katika hivyo vyote ulivyotaja mi naona changamoto ni hiyo ya dini, Tafadhari ishughulikie mapema zaidi ieleweke kabisa nani anamfata mwenzake au kama mtaishi kiserikali. Nakwambia hivyo kwa sababu mi ni muhanga wa hyo kitu na ilinicost sana!

Asante kwa ushauri. Nashukuru Mungu dini sio kikwazo kikuu japo kwa watu itakua ngumu kuelewa
 
Hodi wadau wa JF. Nami nimekuja hapa kwa mara ya kwanza nikiomba ushauri.

Nimepata mpenzi mwaka jana mwishoni mwa mwaka (penzi letu bado changa kama miezi 3). Tumebaatika kupendana sana kwa dhati japo changamoto ni kila kukicha. Tatizo kubwa ni umbali (long distance relationship) kati yetu kitu ambacho kina challenge sana uaminifu wetu.

Tuna malengo ya maisha ya ndoa hapo baadae na tunaheshimiana sana. Yupo kwenye himaya yangu na familia yake na baadhi ya ndugu wakaribi wanajua yupo katika matunzo yangu japokua bado sijajitambulisha kwao rasmi. Namgharamikia matunzo yake yote na hakosi kitu kutoka kwangu.

Hivi karibuni amepata mashosti na tabia zao sijazipenda kwani naogopa watampotosha na tayari wameshaanza kumshawishi vibaya. Wasiwasi wangu ni kwamba nisipolishughulikia hili jambo tunaweza pishana na penzi likafa.

Tumeshapitia mambo mengi sana katika muda huu mfupi na kinachotusaidia ni kwamba tunaupendo wa dhati na tayari tunamalengo. Changamoto bado ni nyingi lakini ukweli utabaki palepale kuwa nipo mbali naye na naogopa hao marafiki watampotosha. Natarajia kuitwa baba (bado ni siri yetu) kwa hiyo nisingependa tugombane ukizingatia mtoto yupo njiani atahitaji matunzo yetu sote.

tumepishana kwenye:-

Dini ( Dini zetu tofauti)
Age (5yrs+ age difference, nimemzidi kiumri)
Elimu (mimi ni Graduate na yeye kaishia secondary school)

Nataka kurudi nyumbani ili tuwe wote lakini kwa sasa ni ngumu kwa sababu bado nachuma chuma kwa ajili yetu hapo baadae. Na tulishaongea kuwa ndani ya mwaka nitarudi lakini kasi ya hao mashosti inanipa wakati mgumu sana.

Nimeelezea juu juu tu ili mpate picha kamili lakini napitia wakati mgumu sana kwa kipindi hichi maishani mwangu. Ningeshukuru sana mawazo yenu manake kwa sasa nipo kivyangu vyangu hata wakumshirikisha nipate ushauri simuoni. Naogopa kufanya maamuzi yakaja niponza baade nifeli kote.

Acha ujinga wewe "eti tunapendana na hata ndugu zake wanajua kuwa bint yao anapata huduma zote kutoka kwangu" hivi wewe una akili kweli au niulimbukeni Wa mapenzi? Kwa nini hujionei huruma? Kwa maisha ya sasa kuishi ktk distance relationship kama sio mkeo unapoteza wakati!

Kama kweli mnapendana kwa dhati peleka posa na mahari kwako ili iwe official. Na kama hauna uwezo Wa kuorganize sherehe au due to faith differences oaneni ndoa ya kimira.

Acha ujinga unaishia kupata ugonjwa Wa moyo buree
 
Lng distance relationship ni pasua kichwa,siyo tu kwa usaliti kivitendo,
Lkn hata hisia mbovu za kusalituwa huzaa uchungu na kutoaminiana,
Halafu km mpishano wenu wa imani ni kati ya mKristo na Muislamu
Ama mkatoliki na msabato sepa fasta,
Hilo ni Bomu la uchungu unalitega mkuu,
Ondoka haraka,
Bora kuvunja mahusiano kuliko kuvunja familia
 
Mwanamke huwez kumtenganisha na swala la mashosti.....kikubwa ni umfungue tu akili awe makini na hao mashosti....asichukue kila wanalo mshauri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom