KB THE DON
JF-Expert Member
- Aug 16, 2013
- 243
- 108
Daah kama usemi wasemavyo wajuvi wa maisha NIPO JUU YA MAWE
Wiki hizi 2 ndo nimeelewa maana halisi ya usemi huo kwani nimejikuta ghafla maisha yamekuwa magumu kiasi cha kuiona Dunia kama mbaya sana.
Nimekuwa nikitegemea mshahara nao baada ya kuupata umepitiliza kwenye masuala ambayo ni must solve nikajikuta nabaki mwenyewe mtupu a.k.a JUU YA MAWE
Hata ninapoandika hapa sioni utamu au furaha ya aina yoyote ile duniani maana sina kitu nimebaki mwenyewe tena mtupu bila chochote
Hivyo nahitaji huruma na mawazo kutoka kwenu Great Thinkers.
Wiki hizi 2 ndo nimeelewa maana halisi ya usemi huo kwani nimejikuta ghafla maisha yamekuwa magumu kiasi cha kuiona Dunia kama mbaya sana.
Nimekuwa nikitegemea mshahara nao baada ya kuupata umepitiliza kwenye masuala ambayo ni must solve nikajikuta nabaki mwenyewe mtupu a.k.a JUU YA MAWE
Hata ninapoandika hapa sioni utamu au furaha ya aina yoyote ile duniani maana sina kitu nimebaki mwenyewe tena mtupu bila chochote
Hivyo nahitaji huruma na mawazo kutoka kwenu Great Thinkers.