Mzee wa kusawazisha
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 1,587
- 1,136
Wife ni mjamzito, Kibaya zaidi sijawai pima HIV na nimemaliza chuo mwaka Jana nilidet na mtoto m1 sikuwai pima aisee na huyu nae sijui yukoje.. Nawaza nikimbie? Nikikimbia hatohudumiwa hapa nahitaji ushauri wenu kabla sijatimua mbio..