Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,864
- 155,822
Paka supa gluu mikononi, rapid test haziwezi kupenya kwenye tabaka gumu la super glueWife ni mjamzito, Kibaya zaidi sijawai pima HIV na nimemaliza chuo mwaka Jana nilidet na mtoto m1 sikuwai pima aisee na huyu nae sijui yukoje.. Nawaza nikimbie? Nikikimbia hatohudumiwa hapa nahitaji ushauri wenu kabla sijatimua mbio..