Nipo Arusha kikazi, uchunguzi wangu mdogo nimegundua yafuatayo...

JITU LA MIRABA MINNE

JF-Expert Member
Mar 28, 2015
726
471
Mpenzi msomaji,ikiwa ni wiki sasa nipo kikazi Arusha,mkoa wenye baridi na utulivu swadakta kabisa kama ujuavyo ''Tembea uone" nimegundua ya kua

1. Sio kila sehemu za kutembea kwa maringo kama ungalimited,uswahilini,daraja 2 hasa mida ya saa 2,3 na kuendelea

2. Baa nyingi za huu zimejaa wambulu,warangi,wanyaturu na wanyiramba na wanapakia bia balaa na ukizubaa wanaweza hata kukuuza mzima mzima

3. Kuna sehemu ya kuitwa kwa morombo ni maarufu kwa kuchoma nyama ni kama kikundi kimepanga mistari 2 huku na huku barabara katikati hapo mbuzi kwa siku wanachinjwa hata 800

4. Ukitaka kuanza maisha huku yakupasa ufikie uswahili na sio njiro,sanawari na sehemu nyingine za kitajiri wafaa

Nipo kwa morombo nasubiria mbuzi kidali+Salala kichomwe niendelee kunyonya taratibu

Kama ulishawahi kutembea maeneo haya hebu tupe udukuzi wako ulivyoudukua mkoa huu yaliyomo humu ndani

KARIBUNI SANA
 
tangu miwe arusha kuanzia 2010 up to 2017 sijagundua hilo,ila kuhusu kwa mrombo kwenye nyama choma hapo hunikosi
 
Mpenzi msomaji,ikiwa ni wiki sasa nipo kikazi Arusha,mkoa wenye baridi na utulivu swadakta kabisa kama ujuavyo ''Tembea uone" nimegundua ya kua

1. Sio kila sehemu za kutembea kwa maringo kama ungalimited,uswahilini,daraja 2 hasa mida ya saa 2,3 na kuendelea

2. Baa nyingi za huu zimejaa wambulu,warangi,wanyaturu na wanyiramba na wanapakia bia balaa na ukizubaa wanaweza hata kukuuza mzima mzima

3. Kuna sehemu ya kuitwa kwa morombo ni maarufu kwa kuchoma nyama ni kama kikundi kimepanga mistari 2 huku na huku barabara katikati hapo mbuzi kwa siku wanachinjwa hata 800

4. Ukitaka kuanza maisha huku yakupasa ufikie uswahili na sio njiro,sanawari na sehemu nyingine za kitajiri wafaa

Nipo kwa morombo nasubiria mbuzi kidali+Salala kichomwe niendelee kunyonya taratibu

Kama ulishawahi kutembea maeneo haya hebu tupe udukuzi wako ulivyoudukua mkoa huu yaliyomo humu ndani

KARIBUNI SANA
Angalia tu usile "kondoo" badala ya "mbuz".
 
Back
Top Bottom