Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wana JF,Natafuta bank ya kupitishia mshahara wangu ili niweze kupata mkopo kwa bank zetu hapa tanzania ni bank gani inafaaa?
Wana JF,Natafuta bank ya kupitishia mshahara wangu ili niweze kupata mkopo kwa bank zetu hapa tanzania ni bank gani inafaaa?
je kwa mshahara wangu wa 1,370,000 baada ya makato nitapata mkopo kuanzia shilingi ngapi
Wanakopesha na watanganyika?
Mh!mshahara wako hauendani na maswali unayouliza,ama kama upo serikalini au private organisation nashawishika kwamba upo kwenye seniority level,nashindwa kuelewa ni kwa nini hufahamu kitu kidogo kama hiki!!!!!I am dubious about your thinking capacity!!!je kwa mshahara wangu wa 1,370,000 baada ya makato nitapata mkopo kuanzia shilingi ngapi
I am dubious about..........?Mh!mshahara wako hauendani na maswali unayouliza,ama kama upo serikalini au private organisation nashawishika kwamba upo kwenye seniority level,nashindwa kuelewa ni kwa nini hufahamu kitu kidogo kama hiki!!!!!I am dubious about your thinking capacity!!!
I am dubious about..........?
Inabidi mshahara upite mara ngapi benki ya posta kabla ya kuqualify kupata? Maana niliuliza Stanbi wakaniambia atleast 3 months of salary.