Gogo la choo
JF-Expert Member
- Oct 8, 2012
- 709
- 292
Duuh..!hivi hiyo Bank ina branch huku Tanganyika kweli..!!
Duuh..!hivi hiyo Bank ina branch huku Tanganyika kweli..!!
Nilichat na sales person wao.. ukiwa na net ya kuanzia 700,000 na kama ofisi yako ina mktaba nao.. ndani ya mwezi unaweza kukopa....unsecured loanKama umewahi kuchukuwa mkopo Standard chartered Bank miaka ya nyuma na ukamaliza vizuri mkopo wako basi ukiwaomba sasa watakupa mara moja baada ya kupitisha mshahara wako.
Riba zao ni kuanzia 15 na kuendelea. Kama hujawahi kukopa sidhani kama kwa mwaka huu utapata ila unaweza ku search simu yao kwenye mtandao na ukaongea na mtu wa mikopo atakuambia kila kitu
Nakutakia kila heri
asanteni kwa michango yenu ninayopata kutoka kwenu wana JF