Nipitishie bank gani mshahara wangu ili nipate mkopo?

Kama umewahi kuchukuwa mkopo Standard chartered Bank miaka ya nyuma na ukamaliza vizuri mkopo wako basi ukiwaomba sasa watakupa mara moja baada ya kupitisha mshahara wako.

Riba zao ni kuanzia 15 na kuendelea. Kama hujawahi kukopa sidhani kama kwa mwaka huu utapata ila unaweza ku search simu yao kwenye mtandao na ukaongea na mtu wa mikopo atakuambia kila kitu
Nakutakia kila heri
Nilichat na sales person wao.. ukiwa na net ya kuanzia 700,000 na kama ofisi yako ina mktaba nao.. ndani ya mwezi unaweza kukopa....unsecured loan
 
..., tunahitaji wataalam wa elimu ya mikopo, hasa hii ya ma-bank yetu yanayowahuju wakopoji, na waasilika wengi ni vijana ambao wachipukia, na kukurupuka kujiingiza kwenye mikopo yenye kuwaumiza na huku bank zikichuma faida kubwa kupitia kwa wateja wao wa mikopo. Cha muhimu nina shauri kabla hatujajiingiza kwenye mikopo tujifunze kupitia kwa wenzetu waliopiga hatua zaidi.
 
asanteni kwa michango yenu ninayopata kutoka kwenu wana JF

Hata mie nimepata elimu kidogo kupitia thread yako, ingawa wengi hawajagusa hasa nitty gritty za mabenki. Nadhani kwa taarifa zaidi inabidi tuwaone wahusika wa benki wenyewe.
 
bora uulize kwenye saccos vizuri au akiba bank wanaweza wakakusaidia vizuri !! ukitaka kujenga nichk kwenye 0717 442537,..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom