Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 21,168
- 36,056
Pale maongezi yanaponoga na kufanya umbali wa maili maelfu kuwa kama chumbani na chooni kwenye chumba cha master....
Dadii: Huko uliko unafanya nini
Sijui mpenz we umeshakula
Napata shauku ya kukuona
Kwani tangu nilipotoka.......
Nataka nirudi nyumbani, nikupe stori fulani, tukiwa pamoja mezani .....iiihhh
Kwanza nipigie, Kasinde nipigie.... tupigianee
Nipigie, Kasie wangu nipigie.... nina kazi jikoni
Nipigie Kasinde nipigie .....tupigianee
Nipigie honey nipigie........
Mimi na wewe ni kitu kimoja... ooh kimojaa
Mimi nawe lengo ni moja, mimi nawe lengo ni moja....
Kasie: Sema dadii unasemaje. ....
Ndio naweka msosi mezani
Ila nyumbani usichelewee
Nina hamu na hiyo stori
Story yenyewe ya nani....
Usije ni zuga mezani....
Maana nnavotamani (nna hamu na weweee....)uuuhhhh...
Nipigie.... dadii nipigie..... tupigianee
Nipigie.... darling nipigie.... (in Stara Thomas voice....)
What a vacation...... nimeanza likizo na kuanza ku-attend clinic..... poor Kasie.
Dadii nipigie..... tuonane leo jioni pale kiotani.... Muah!!!
Dadii: Huko uliko unafanya nini
Sijui mpenz we umeshakula
Napata shauku ya kukuona
Kwani tangu nilipotoka.......
Nataka nirudi nyumbani, nikupe stori fulani, tukiwa pamoja mezani .....iiihhh
Kwanza nipigie, Kasinde nipigie.... tupigianee
Nipigie, Kasie wangu nipigie.... nina kazi jikoni
Nipigie Kasinde nipigie .....tupigianee
Nipigie honey nipigie........
Mimi na wewe ni kitu kimoja... ooh kimojaa
Mimi nawe lengo ni moja, mimi nawe lengo ni moja....
Kasie: Sema dadii unasemaje. ....
Ndio naweka msosi mezani
Ila nyumbani usichelewee
Nina hamu na hiyo stori
Story yenyewe ya nani....
Usije ni zuga mezani....
Maana nnavotamani (nna hamu na weweee....)uuuhhhh...
Nipigie.... dadii nipigie..... tupigianee
Nipigie.... darling nipigie.... (in Stara Thomas voice....)
What a vacation...... nimeanza likizo na kuanza ku-attend clinic..... poor Kasie.
Dadii nipigie..... tuonane leo jioni pale kiotani.... Muah!!!