Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,174
- 39,936
Expired
Ropoka tu mkuuSina hadhi ya kuropoka...nikikaa na magenge na Moka!
Kweli mkuu, kuzi-blacklist hizi hisia ndio tatizoAisee!! We si una mkeo nayeye si ameshaolewa? Achana nae!!
Kweli mkuu,nikimuona kwenye ukurasa wangu naona kuna kitu hakijafanyika...sijui nimfute urafiki?Mzee Baba, hizo hisia mpaka uzipige Tanganyika jack? Wewe tambaa tu bana, ushakuwa na majukumu sasa hivi. 😁😁
Angalia familia yako (mke na watoto) mliekutana baada ya miaka kadhaa kupita sio yule mliekuwa chuo pamoja! Usije kusema sikukwambia!!Kweli mkuu, kuzi-blacklist hizi hisia ndio tatizo
ha ha ha hakwani boda yako haibebagi mishkaki?
Kweli mkuu najilaumu sanaUlishafeli ule usiku wa saa 10 mlipotoka kwenye event.
Ndivyo maisha yalivyo mkuuAisee!
Kweli mkuuAngalia familia yako (mke na watoto) mliekutana baada ya miaka kadhaa kupita sio yule mliekuwa chuo pamoja! Usije kusema sikukwambia!!
Kweli mkuu najilaumu sana
Inawezekana kila kitu hutokea kwa sababuIyo siku ya event ungemaliza kazi huenda ndo angekuwa mama watoto now lakini uwezi jua kwanini haikuwa hvyo.
ha ha ha haTayari jitu lishakuwa scraper lina mitoto kibao we unaumia kichwa Tz ya viwanda