Nipeni ufafanuzi wa Upendo wenu kwa Lema

Kwa maoni yangu Lema amefanya kile ambacho wana CCM wengi wameshindwa kukifanya kwa kwa miaka yote ya uhai wa chama chao ambacho ni kuishi kwenye mioyo ya anaowaongoza. Ndicho alichomudu mwana CCM mwenye kadi namba moja ya CCM Julius K Nyerere. Nyerere amekufa lakini hajafa kwenye mioyo ya watu. Bado wengi wanamwona kuwa ni alama yao ya maisha. Lema, kalimudu hilo ndani ya kipindi kifupi alichoshika jimbo hilo. Kukaa kwenye mioyo ya watu no matter how good or bad you are ni mafanikio makubwa sana. Ukitaka kujua hilo, mwulize JK. Alikuwa kwenye mioyo ya watu 2005 na leo hii kabakia kuwa kwenye mioyo ya mafisadi pekee.
 
Makengeza ya fikra haya!Kwani CCM mnajenga miradi kwa fedha kutoka wapi?ni nani kati yenu aliyeuza nyumba yake au mali ya baba yake ili atengeneze hiyo miradi?Zaidi sana mnakomba hata kile kidogo kinachochangwa na mafukara na yatima wa nchi hii.Hizo ni kodi zetu wala hatuhitaji kuwapongeza.Tunapenda opposition kwasababu YOU HAVE TAKEN MORE THAN THE OWNER TO NOTICE!
 
mambo aliyoyafanya lema toka aingie madarakani.
1.amesambaratisha mpango wa kuuza kiwanda cha general tyre.
2.amesaidia wamachinga kupata uwanja wa nmc-pamoja na kuwa ccm ilifanya kwa lengo baya na bila kufuata sheria.
3.amefanya viongozi wa juu ccm waliojenga hoteli za kitalii arusha kuishi kwa presha kwani mpaka sasa hawajui hatma yao.
4.amesaidia kupatikana barabara za lami kwa mkopo wa benk ya dunia baada ya kushindikana miaka 50 ya utawala wa ccm arusha mjini.
Jibu lako liko vizuri. Nadhani si hayo tu!
 
By mwakidondo:
Subiri mitusi si unawajua tena wanaharamu wa CDM.

Mada hii si ya ki-CCM bali ni ya kutaka kujua kuwa hujui haki yako bali kuwaza matusi kama kawaida ya Kijani na njano.

I discard your comment because of negative perception towards revolutionist like CHADEMA
 
Na umasikini wa Wana-Arusha walio wengi umesababishwa na sera mbovu za CCM. Na wizi wa rasilimali za Arusha na Tanzania kwa ujumla unasababishwa na sera mbovu za Serikali ya CCM... Alichofanya Lema na anachoendelea kukifanya ni kushiriki harakati za kuikomboa Tanzania na watanzania dhidi ya mfumo dhalimu wa CCM.

Jibu makini sana! Lema atazidi kudumu katika mioyo ya Watanzania kwa kuwafanya wadai mabadiliko katikati ya mfumo mateso ya Mafisadi
 
Your asking kafanya nini toka April 04, 2012?? Huoni aibu??? Tuwaulize nyie mmelifanyia nini Jimbo la Arumeru Mashariki for the past 50 years?? Mkijibu hilo na sisi tupo tayari kuwajibu kafanya nini.

Tafadhali waulize hao CCM!Nategemea uwasaidie wananchi kujua haki zao kwa nafasi uliyonayo lakini hujui unajibu nini! Jipange upya maana unaichukia CCM sana lakini hujui mbunge huyu kafanya nini katika jimbo lake. Nikipata muda nitakueleza ili ujue hiyo CCM yako ni Chama Cha Matatizo!!!

Code:
Mbona huelewi mada?
 
swali kwa mleta thread ,je mumewafanyia nini wana arumeru kwa miaka 50 ya uhuru?

Swali zuri hilo,
Mimi nimewasaidia watu wa eneo langu kupata maji lakini wameyachakachua. Pia, nimewasaidia watu wa jamii inayonizunguka kukataa kudhulumiwa haki yetu ya kuishi hapa baada ya aliyekuwa diwani wetu miaka hiyooo kutaka kupokonya ardhi ya makazi wananchi. Nimewaelimisha na kuwahamasisha jamii ya watu wa hapa kupeleka watoto wao kupata elimu na mengine mengi ikiwa ni pamoja na kukuwezesha wewe kuchangia mada hii ya leo. Hata sasa mimi ninawasaidia watu wa hapa na hapo na pale kuleta mabadiliko na kutoka katika utawala wa Chama Cha Miaka.


Swali kwako: Kwa nini sisi watanzania wengi tukiulizwa swali hatujibu swali tuliloulizwa bali tunauliza swali juu ya swali?

NIPE MAJIBU KWA MASWALI YANGU AU HUNA MAJIBU?​
 
Kashindwa kuondoa hali ya ukame katika jimbo lake! Hata maji ni shida pamoja na uchumi wake

ukame Arusha ni kitu cha kawaida sana.Pia ujue sehemu ya meru na aruhsha ina maji ila si yote ni maji yanayofaa kwa matumizi ya binadamu.maji ya sehmu nyingi yana flouride zaidi ya kiwango cha kawaida achilia mbali madini mengine ambayo hayajachunguzwa.Maji ya kilimo yanamezwa na wageni wenye meshamba makubwa yanayofunika vyanzo vya maji na hivyo kupawapa access kubwa zaidi.hawa wana mikataba hata JK hawezi igusa zaidi ya kuwaomba.maji safi yamekwenda arusha na Nje ya Arusha, mengine yamekwenda mabali zaidi hadi Monduli, na sehemu nyingine za majeshi kama magereza, Tanganyika packers, polisi etc..Vilima vingi navyo ni challenge kwa mifumo ya maji.

Siwezi pia jua vipaumbele vya mbunge na chama chake,ila maji ahta serikali ya CCM kwa miaka zaidi ya 50 bado haijafanya chochote ktk maji.Vijiji vingi vilipata maji kwa kujiwekea mifumo yao ya maji ikiwa chini ya vijiji,na sasa CCM wamekuja funga hii mifumo na kuweka mifumo yao mipya huku wakicharge hela.Sasa hivi Tanzania nzima wajerumani wana toa fedha za kuanzisha mifumo mipya au hata ya zamani.HApa CCM wasijidai kutaka sifa.
 
Back
Top Bottom