Nipeni pole,wakaka/wababa nisaidien kujua 7bu ya baadhi yenu kufikia kufanya upuuzi

Cantalisia

JF-Expert Member
Sep 26, 2011
5,222
2,923
Habari zenu wadau,leo nimekuwa na asubuhi mbaya sana na hata itapelekea kuifanya siku yangu nzima ya leo kuwa mbaya,nikiwa njian nakuja kazini asubuhi kutokea mwenge kuja posta,nashukuru nilipata siti sio ya dirishan,gari ilikuwa imejaa sana watu wengi walikuwa wamesimama,pembeni yangu alikuwepo mbaba kwa kumkadiria ni km miaka 35-40 hivi alikuwa nadhifu na shati lake lilikuwa na jina la benki moja kubwa hapa mjini,yule baba kadri safari ilivyoendelea alizidi kunisogelea mpaka akawa ameegemea kile kiti na kunigusa kwenye bega la kushoto akiwa anatizama dirishan.

Kutokana na hali ya hewa ya leo ya mvua kulikuwa na folen sana tulipofika maeneo ya moroco nikawa nasinzia ila sio usingizi mzito,nikawa nahisi km kuna kitu kinanipapasa au km kusugua kwa mbali nikafumbua macho nikamwangalia yule baba naye akaniangalia nikawa sijaelewa kitu nikaendelea kulala,baada ya muda tena ile hali ikaanza nikisikilizia kwa muda nikiwa bado sijagundua kinachoendelea nikamtizama tena yule baba hakunitizama akawa anaangalia nje,nikendelea kulala ila nikiwa nasubiri ule msuguo uanze,na kweli haikupita mda ukaanza tena kwa nguvu na kwa kasi nikafumbua macho nakuangalia ile sehemu, yule baba alikuwa amefungua zipu ya suruali yake na anasugua uume wake kwenye mkono wangu kati ya kiwiko na bega,kwakweli nilishituka sana na yeye wala hakujua km nimemuona akaendelea na mchezo wake.

wandugu gafla sikujua nifanyeje nilipata hasira nikajikuta nimesimama gafla na kumchapa kofi kali yule baba kabla hasema kitu nikapiga na lingine akabaki amepigwa butwaa suruali iko wazi watu bado wanamshangaa mie nikamwita konda nakuomba asimamishe gari yule baba ndio akastuka na kukimbilia mlangoni akitashuka watu wakamzuia wakanza kumpiga wakizani ni mwizi na ameniibia nikawaambia sio mwizi msimpige akashuka huku akiwa anafunga suruali maeneo ya ubalozi, watu wakanza kuniuliza kwann nimempiga niliwaelezea kilichotokea walishangaa na baadhi kunilaumu kwann sikuacha wampige sikuweza kusema kitu nilinyamaza nikiwa na hasira kupita kiasi,

kwanza nipen pole balaa hili ambalo nimekuwa nikisikia story tu kwa watu na magazetini, na nawauliza wababa/wakaka ni kitu gani kiasababisha baadhi yao kufanya vitendo hivi,ni makusudi au ni hali inayowakuta bila kujitambua au nikuendekeza tamaa za kijinga?nawasilisha.
 
duh pole sana sana
hiyo kali mpaka kiwiko mtu anataka kumaliza haja zake
ni ukame wa aina gani huo
 
Habari zenu wadau,leo nimekuwa na asubuhi mbaya sana na hata itapelekea kuifanya siku yangu nzima ya leo kuwa mbaya,nikiwa njian nakuja kazini asubuhi kutokea mwenge kuja posta,nashukuru nilipata siti sio ya dirishan,gari ilikuwa imejaa sana watu wengi walikuwa wamesimama,pembeni yangu alikuwepo mbaba kwa kumkadiria ni km miaka 35-40 hivi alikuwa nadhifu na shati lake lilikuwa na jina la benki moja kubwa hapa mjini,yule baba kadri safari ilivyoendelea alizidi kunisogelea mpaka akawa ameegemea kile kiti na kunigusa kwenye bega la kushoto akiwa anatizama dirishan.

Kutokana na hali ya hewa ya leo ya mvua kulikuwa na folen sana tulipofika maeneo ya moroco nikawa nasinzia ila sio usingizi mzito,nikawa nahisi km kuna kitu kinanipapasa au km kusugua kwa mbali nikafumbua macho nikamwangalia yule baba naye akaniangalia nikawa sijaelewa kitu nikaendelea kulala,baada ya muda tena ile hali ikaanza nikisikilizia kwa muda nikiwa bado sijagundua kinachoendelea nikamtizama tena yule baba hakunitizama akawa anaangalia nje,nikendelea kulala ila nikiwa nasubiri ule msuguo uanze,na kweli haikupita mda ukaanza tena kwa nguvu na kwa kasi nikafumbua macho nakuangalia ile sehemu, yule baba alikuwa amefungua zipu ya suruali yake na anasugua uume wake kwenye mkono wangu kati ya kiwiko na bega,kwakweli nilishituka sana na yeye wala hakujua km nimemuona akaendelea na mchezo wake.

wandugu gafla sikujua nifanyeje nilipata hasira nikajikuta nimesimama gafla na kumchapa kofi kali yule baba kabla hasema kitu nikapiga na lingine akabaki amepigwa butwaa suruali iko wazi watu bado wanamshangaa mie nikamwita konda nakuomba asimamishe gari yule baba ndio akastuka na kukimbilia mlangoni akitashuka watu wakamzuia wakanza kumpiga wakizani ni mwizi na ameniibia nikawaambia sio mwizi msimpige akashuka huku akiwa anafunga suruali maeneo ya ubalozi, watu wakanza kuniuliza kwann nimempiga niliwaelezea kilichotokea walishangaa na baadhi kunilaumu kwann sikuacha wampige sikuweza kusema kitu nilinyamaza nikiwa na hasira kupita kiasi,

kwanza nipen pole balaa hili ambalo nimekuwa nikisikia story tu kwa watu na magazetini, na nawauliza wababa/wakaka ni kitu gani kiasababisha baadhi yao kufanya vitendo hivi,ni makusudi au ni hali inayowakuta bila kujitambua au nikuendekeza tamaa za kijinga?nawasilisha.
Kwanza pole,..hata kwa hili mimi bado nafikiri nistory uliyoipika_maake sidhani ama sifikirii kama inawezekana kwa mtu mwenye akili timamu kufanya hivyo,....mimi kama mbaba sina mchango kwa hili zaidi ya kudhani ni kastory ka kijiweni,...pole sana da canta
 
duh pole sana sana
hiyo kali mpaka kiwiko mtu anataka kumaliza haja zake
ni ukame wa aina gani huo
Asante Mr Rocky,yani hata mie mpaka sasa nashindwa kuelewa kbs!kwan hali hiyo husababishwa na nn?
 
Kwanza pole,..hata kwa hili mimi bado nafikiri nistory uliyoipika_maake sidhani ama sifikirii kama inawezekana kwa mtu mwenye akili timamu kufanya hivyo,....mimi kama mbaba sina mchango kwa hili zaidi ya kudhani ni kastory ka kijiweni,...pole sana da canta
Amini usiamini huu ni ukweli na imenitokea mwanyewe leo hii,na kwa mwonekano ni mtu mzima na mwenye akili timamu kbs,na ndio maana mpaka mda huu nashindwa kuelewa aliamua au alitumwa labda na mganga yani sielewi hata hapa oficn kuna watu hajaamin kbs lkn ndio ukweli wenyewe Igwe, asante kwa kunipa pole!
 
best pole sana, mi kuna mmoja alikuwa nyuma yangu yuko bize mwenywe habar hata hana mimi ile kugeuka nilimuhaibisha basi zima lilimuona mpumbavu, sio siri watu kama hao wapo sna. ila sijui tatizo nini hasa
 
Kwanza pole,..hata kwa hili mimi bado nafikiri nistory uliyoipika_maake sidhani ama sifikirii kama inawezekana kwa mtu mwenye akili timamu kufanya hivyo,....mimi kama mbaba sina mchango kwa hili zaidi ya kudhani ni kastory ka kijiweni,...pole sana da canta

Niliangalia Forum gani nikakuta sio chit chat ni MMU, hata mimi sijaamini labda mimi ni tomaso maana bora ingekuwa wameshika bomba kidogo ningeamini lakini mtu aliyekaa anafungua zipu anakula mkono bila watu kumuona kidogo inautata. Lakini Kama ni kweli pole sana Dada, huyo jamaa akiri yake itakuwa sio sawa.
 
Pole mwaya, haya mambo yanakera asikwambie mtu! Mi mwenyewe niliwahi nusurika na hii kitu, tulikuwa tumesimama kwenye daladala na nyuma yangu alikuwepo huyo mbaba alotaka kunifanyia huo ubazazi. Yaani ka bahati ikatokea nikageuka, my dear nilibaki kuduwaa........!!
 
best pole sana, mi kuna mmoja alikuwa nyuma yangu yuko bize mwenywe habar hata hana mimi ile kugeuka nilimuhaibisha basi zima lilimuona mpumbavu, sio siri watu kama hao wapo sna. ila sijui tatizo nini hasa

kama hili lipo basi ni zaidi ya udhalilishaji,...anyway poleni sana wadada
 
Amini usiamini huu ni ukweli na imenitokea mwanyewe leo hii,na kwa mwonekano ni mtu mzima na mwenye akili timamu kbs,na ndio maana mpaka mda huu nashindwa kuelewa aliamua au alitumwa labda na mganga yani sielewi hata hapa oficn kuna watu hajaamin kbs lkn ndio ukweli wenyewe Igwe, asante kwa kunipa pole!
Pole sana da Canta,...ila nafikiri huyo jamaa ni punguani,...amejidhalilisha na kutudhalilisha watu wa jinsia yake
 
Pole mwaya, haya mambo yanakera asikwambie mtu! Mi mwenyewe niliwahi nusurika na hii kitu, tulikuwa tumesimama kwenye daladala na nyuma yangu alikuwepo huyo mbaba alotaka kunifanyia huo ubazazi. Yaani ka bahati ikatokea nikageuka, my dear nilibaki kuduwaa........!!

Yeah_something is clicking in ma head!..inawezekana hivi vitu vipo na vinafanyika kwenye jamii yetu_maake naona watu wengi wanashuhudia,.....ila its more than inhuman...ngoja namuona naye Bebii anachungulia hapa chini alete ushuhuda wake na namna alivyo deal nalo,....poleni sana
 
dah pole sana cantalisia uwe unatembea hata na kiwembe ungemtoa hata sikio akome
 
dah pole sana cantalisia uwe unatembea hata na kiwembe ungemtoa hata sikio akome

ahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaa!..nilikuona ukichungulia_nikajua ni lazma utaleta suluhu ya hili jambo,.....mm nakukubali kwa self defense
 
best pole sana, mi kuna mmoja alikuwa nyuma yangu yuko bize mwenywe habar hata hana mimi ile kugeuka nilimuhaibisha basi zima lilimuona mpumbavu, sio siri watu kama hao wapo sna. ila sijui tatizo nini hasa
Bora ww uliyewahi kutokewa coz inawawia ngumu sana watu kuamini,ila ndio ukweli japo watu wanaona kama nimetunga, asante mwaya!
 
Amini usiamini huu ni ukweli na imenitokea mwanyewe leo hii,na kwa mwonekano ni mtu mzima na mwenye akili timamu kbs,na ndio maana mpaka mda huu nashindwa kuelewa aliamua au alitumwa labda na mganga yani sielewi hata hapa oficn kuna watu hajaamin kbs lkn ndio ukweli wenyewe Igwe, asante kwa kunipa pole!

yeah, ni kweli haya mambo yapo saaana, na yanatokea kila siku, katika daladala zetu. Mbona tunayashuhudia, anayekataa anataka tuu kuendeleza mjadala, Ila pole sana Cantalisia, coz huyo naona alifika mbaali hadi kufungua zip, shame on them kwa kweli
 
Shalis sweetie, unaweza kuona kama ni utani but haya mambo yapo sana dear. Sijajua tatizo la hao watu!
Asante kwa kunisaidia,ila ianaiuma coz watu hawaamini kbs but siku ikimtokea mtu ndio ataamini!
 
Niliangalia Forum gani nikakuta sio chit chat ni MMU, hata mimi sijaamini labda mimi ni tomaso maana bora ingekuwa wameshika bomba kidogo ningeamini lakini mtu aliyekaa anafungua zipu anakula mkono bila watu kumuona kidogo inautata. Lakini Kama ni kweli pole sana Dada, huyo jamaa akiri yake itakuwa sio sawa.
Asante ila najua siku ukishuhudia au mtu wako wa karibu ikimtokea ndio utaami tu!
 
ahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaa!..nilikuona ukichungulia_nikajua ni lazma utaleta suluhu ya hili jambo,.....mm nakukubali kwa self defense
yani kama amelala mzungu wa nne na mkewe ndo akuharibie siku asbhi yote iyo dear loh pole sana wanaume hawa khaaa........................
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom