Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Habarini wakuu! Mungu ni mkubwa tunapambana sana.
Mimi ni Mtanzania mzalendo wa kuisaidia nchi yangu kiuchumi, kisiasa na kijamii ili ipate maendeleo, na pia tuweze kuwakwepa maadui wetu ambao Kila kitu wanapinga tu, kila kinachofanyika wao wanaona zero!
Ninasema hapana, hapana!
Ni namna gani naweza kuwa informer (resource) ya kupata information mbaya dhidi ya nchi yangu na viongozi wake ili tuikomeshe hii tabia kwa namna moja ama nyingine.
Ili mtu anayeisemea vibaya nchi yangu nimchome na pengine kumuunguza kabisa kwenye vyombo husika kwani ni adui wa maendeleo na nchi yetu.
Naombeni strategies au njia za kufika huko. Sitaki kulipwa wala kunufaika kwa kuwa informer!
Asanteni
Mimi ni Mtanzania mzalendo wa kuisaidia nchi yangu kiuchumi, kisiasa na kijamii ili ipate maendeleo, na pia tuweze kuwakwepa maadui wetu ambao Kila kitu wanapinga tu, kila kinachofanyika wao wanaona zero!
Ninasema hapana, hapana!
Ni namna gani naweza kuwa informer (resource) ya kupata information mbaya dhidi ya nchi yangu na viongozi wake ili tuikomeshe hii tabia kwa namna moja ama nyingine.
Ili mtu anayeisemea vibaya nchi yangu nimchome na pengine kumuunguza kabisa kwenye vyombo husika kwani ni adui wa maendeleo na nchi yetu.
Naombeni strategies au njia za kufika huko. Sitaki kulipwa wala kunufaika kwa kuwa informer!
Asanteni