Behind the camera
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 315
- 740
Habari zenu ndugu na jamaa katika mtandao pendwa wa jamiiforums.com Bila Shaka muwema kabisa.
Hongereni kwa kazi na ibada kwa wale ambao walikwenda leo, na ambao hawajafanikiwa Basi MUNGU AWAKUMBUSHE.
BAADA YA KUWASALIMU.
Nimekuja mbele yenu leo kuomba msaada juu ya uandishi wa makala na stori za kuvutia.
Binafsi huwa napenda sana kuandika, na napenda sana kusoma. Lakini sina elimu sana juu ya Jambo hili.
Hivyo naomba mbinu mbali mbali za uandishi wenye kuvutia.
Kwani napenda kuandika Sana
- Stori mbali mbali za matukio ya kusisimua.
- Riwaya n.k
LAKINI
Kwakuwa sina ujuzi Sana, ndio maana hata huu Uzi wangu hapa haujakuvutia saaaaaana.
Hivyo Basi, NAPOKEA TOKA KWAKO -
Msaada
Ushauri
Maoni
Matusi
Lawama
Kashfa
Kukatishwa tamaa
Kupewa moyo
Na mengine mengi.
Nawasilisha.
Hongereni kwa kazi na ibada kwa wale ambao walikwenda leo, na ambao hawajafanikiwa Basi MUNGU AWAKUMBUSHE.
BAADA YA KUWASALIMU.
Nimekuja mbele yenu leo kuomba msaada juu ya uandishi wa makala na stori za kuvutia.
Binafsi huwa napenda sana kuandika, na napenda sana kusoma. Lakini sina elimu sana juu ya Jambo hili.
Hivyo naomba mbinu mbali mbali za uandishi wenye kuvutia.
Kwani napenda kuandika Sana
- Stori mbali mbali za matukio ya kusisimua.
- Riwaya n.k
LAKINI
Kwakuwa sina ujuzi Sana, ndio maana hata huu Uzi wangu hapa haujakuvutia saaaaaana.
Hivyo Basi, NAPOKEA TOKA KWAKO -
Msaada
Ushauri
Maoni
Matusi
Lawama
Kashfa
Kukatishwa tamaa
Kupewa moyo
Na mengine mengi.
Nawasilisha.