kwakweli endelea kufundisha tu n
dg una masifa mno na hako kaelimu kako siku ukiwa mhasibu utalaza njaa familia za wakufunzi kwa urasimu usio walazima simply unataka waacknowledge umesoma, usipende kuvua samaki kwenye kapu la mwenzio badala yake nenda nawe baharini. Kuliko kulalamikia mtu ambaye pengine hajapata audit querry bora ungeanza CPA ndo ujue machozi na jasho ulilopata huko nyuma ni chamtoto.
Tuna walimu wachache wa hesabu plz endelea kusaidia taifa
dg una masifa mno na hako kaelimu kako siku ukiwa mhasibu utalaza njaa familia za wakufunzi kwa urasimu usio walazima simply unataka waacknowledge umesoma, usipende kuvua samaki kwenye kapu la mwenzio badala yake nenda nawe baharini. Kuliko kulalamikia mtu ambaye pengine hajapata audit querry bora ungeanza CPA ndo ujue machozi na jasho ulilopata huko nyuma ni chamtoto.
Tuna walimu wachache wa hesabu plz endelea kusaidia taifa