Awe me au ke usiingie kwenye mahusiano mapya kama bado una mawasiliano na x. Hii ni general rule haina exception.
Fanya juu chini akufumanie. Atatamani dunia ipasuke.
Baharia anatumia maneno...mboyoyo mingi mpaka mtu anajaaBaharia hatumii laki 8 kwa ajili ya demu..
muombe TIGO
wallah harudi tena
PS: kama akikubali kazi ipo
Baharia hatumii laki 8 kwa ajili ya demu..
Kwa nini unataka kumuumiza mtu ambae hajakukosea? wewe unafahamu ukweli hasa kwa nini aliamua kusitisha uhusiano na huyo aliepita? mama, dada ama mtu wa karibu wa ukoo wako akiumizwa kama hivyo na wewe utafurahi? umechoka kuwa mwanaume usiwe mvulana mkuu, wewe sepa kimya kimya tu.
😂 😂Baba haya mambo hayajaribiwi. Unaweza ukasusiwa goma ukaishia kutoa macho tuu
Muunganishe na baba yako awe mzee anajipigia...Weekend hiloo, wanajukwaa embu nipeni mbinu matata nimwache hyu bidada yani aumie kisawasawa alie kisawasawa na ofcoz amejaa sana kwangu.
Why? Hyu dem wkt nakutana nae 2months ago alinambia yuko single, siku akajimix alinipa nimshikie cm yake nikakuta calls za kutosha kumbe hyo alikuwa ex wake aliye mbwaga. Nikazama Dm nkakuta jamaa analia sana umeniacha bila kosa nashukuru mara huwez pata mwanamme mwenye true love kama mimi, nikacheka kimoyomoyo jamaa umejuaje??
Ofcourse sikupenda kitendo cha dem alichofanya afu sikupenda kuona baharia mwenzangu analia vile, mpaka sasa jamaa anamtafuta demu. Hyu dem me nishamchoka hana jipya la kunipa sahivi. Nataka na yeye aliye kama alivolia jamaa ake. Yan kamwacha jamaa ake mwenye true love kadata kwangu.Mabaharia hyu dem ili aumie kisawasawa ikiwezkana asinisahau kabisa. NIFANYAJE??
No yake kabla hujaifuta unaiblock, hawezi kukupigia tenaWhat if kama yeye ndo anakusumbua..hayo tunayaita pia mawasiliano??
Dadekii atakula pesa za ahadi tuu...Baharia anatumia maneno...mboyoyo mingi mpaka mtu anajaa
unakuta kasusiwa mzigoBaba haya mambo hayajaribiwi. Unaweza ukasusiwa goma ukaishia kutoa macho tuu