Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,917
- 24,674
Juzi nimekuja na bandiko hapa la kuomba kupewa ushauri jinsi ya kuacha kuwagegeda mademu tofauti tofauti,
Kutokana na Nature ya kazi yangu kuuza kiepe inanifanya nikutane na hawa viumbe kila mara hivyo kuzidisha kuniweka majaribuni ata pale moyo wangu unapokataa niseme tu ukweli Moyo wangu ni dhaifu kweli kweli
Nawaomba Ndugu zangu mnaonitakia mema mimi mr Zero iQ, mnipatie kazi itakayonikeep bizy almost 10 to 12,hours per day
Kama ikishindikana basi yeyote mweye karakana ya Aluminium yaani fundi wa kutengeneza milango, madirisha material yoyote ya aluminium aniunganishe hapo nipate ujuzi wa kunikeep bizy,
Pia kama kuna sehemu ya kutengeza sofa,vitanda na Nk. Niunganisheni hapo nikawe bizy huku najifunza ujuzi,
Note:
Kama hofu ni uhaminifu basi nitatoa
--Cheti changu cha kuzaliwa
--cheti cha kumaliza darasa la saba
--cheti cha kuhitimu kidato cha nne
--cheti cha kuhitimu course kilichosajiliwa na kutambuliwa na baraza la pharmacy Tz kwa mmiliki wa kazi.
Ps
--Location niko dodoma mjini kabisa
CC Zero IQ
Kutokana na Nature ya kazi yangu kuuza kiepe inanifanya nikutane na hawa viumbe kila mara hivyo kuzidisha kuniweka majaribuni ata pale moyo wangu unapokataa niseme tu ukweli Moyo wangu ni dhaifu kweli kweli
Nawaomba Ndugu zangu mnaonitakia mema mimi mr Zero iQ, mnipatie kazi itakayonikeep bizy almost 10 to 12,hours per day
Kama ikishindikana basi yeyote mweye karakana ya Aluminium yaani fundi wa kutengeneza milango, madirisha material yoyote ya aluminium aniunganishe hapo nipate ujuzi wa kunikeep bizy,
Pia kama kuna sehemu ya kutengeza sofa,vitanda na Nk. Niunganisheni hapo nikawe bizy huku najifunza ujuzi,
Note:
Kama hofu ni uhaminifu basi nitatoa
--Cheti changu cha kuzaliwa
--cheti cha kumaliza darasa la saba
--cheti cha kuhitimu kidato cha nne
--cheti cha kuhitimu course kilichosajiliwa na kutambuliwa na baraza la pharmacy Tz kwa mmiliki wa kazi.
Ps
--Location niko dodoma mjini kabisa
CC Zero IQ