Kazitunayo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2013
- 3,772
- 3,160
Watu wengi walisubiria kwa hamu sana kuona jokate ata post nini kuusu alikiba kwenye siku yake ya kuzaliwa cha ajabu sana akapost maneno ya lugha ingine kabisa nakuwaacha wambea hoi sasa kwa kua mimi ni mbobezi wa lugha hii nipo tayari kuwa tafsiria ila kwa sharti la kunipa ela mnataka umbea lipieni