Nipeni hela niwatafsirie alichokiandika Jokate kwenye Birthday ya alikiba

Hebu wewe unayedhani katumia google translate tuandikie hayo aliyoyaandika kwa Kifaransa sanifu na fasaha..
Siwezi kuandika yote cz with her broken french sikuelewa yote ..but let me try...bebe joyeux annif, je t'aime bcp...je te souhaite Le meuilleur du fond De Mon coeur ...
Quoi Que ca soit, sache Que Jojo Est toujours avec toi....je remercie dieu De t avoir eu comme ami...
Sois beni
 
Watu wengi walisubiria kwa hamu sana kuona jokate ata post nini kuusu alikiba kwenye siku yake ya kuzaliwa cha ajabu sana akapost maneno ya lugha ingine kabisa nakuwaacha wambea hoi sasa kwa kua mimi ni mbobezi wa lugha hii nipo tayari kuwa tafsiria ila kwa sharti la kunipa ela mnataka umbea lipieni
Hajawaacha wambea wote hoi, wambea wengine wameelewa lugha aliyotumia, ndo wanataka wapewe hela ili watafsiri kwa wemgine.... Yaani mbea kaona fulsa

ISHU JE, KAMA SIJUI LUGHA ILIYOTUMIKA, NTAJUWAJE KWAMBA TAFSIRI NILIYOPEWA NI SAHIHI? Au ndo utakuwa umbeya mwingine?
 
Watu wengi walisubiria kwa hamu sana kuona jokate ata post nini kuusu alikiba kwenye siku yake ya kuzaliwa cha ajabu sana akapost maneno ya lugha ingine kabisa nakuwaacha wambea hoi sasa kwa kua mimi ni mbobezi wa lugha hii nipo tayari kuwa tafsiria ila kwa sharti la kunipa ela mnataka umbea lipieni
Mbona English hii ni very broken........
1480492938666-png.441283
najua ni vigumu kuamini kuwa mimi huwa napenda sana maparachichi.
ndizi za kuiva ukichanganya na mafenesi,ni hayo tuu KIBA,
lakini ninakusihi sana ,usisahau kuja na matikiti.

joketi alikuwa anamaana nzuri sana si umeona tafsili yake???
 
Back
Top Bottom