Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ina majini ndio maana inauzwaKwanini unaiuza?
Wewe unaferi.. embu angalia wewe, umeandikaje?Kajifunze kuandika vzr,hujaeleza ntumba ipo wapi? Umetaka upewe offa wakati offa unayo tayri
Imepatikana moja, ina vyumba vitatu (1self), sebule, jiko na dinning room.Mimi nataka nyumba ya kununua maeneo tajwa budget yangu mil 20. Au pagale budget yake isizidi mil 11. Na Uwanja usiwe chini ya SQM 400
Ukichukua mi nakua mpangaji wako wa kwanza. Land lord Komaa tumalize mchezochukua twenty hilo mkuu niweke wapangaji hapo
Wee jamaa hii nyumba bado hujauza tuuKaribuni kwa offer wana ndugu!
Samahani ndugu mtoa thread kwani wewe NI muhusikia halisi au dalali??Hailipi wateja wamefika hadi 25m sijauza
Kiongozi akikujibu naomba unitagi pleaseSamahani ndugu mtoa thread kwani wewe NI muhusikia halisi au dalali??
Hiyo NI flat nche 55.. new modelSamahani, hio tv kwenye picha ni chogo au flat?
Mkuu njoo msongora ukaone mil10Mimi nataka nyumba ya kununua maeneo tajwa budget yangu mil 20. Au pagale budget yake isizidi mil 11. Na Uwanja usiwe chini ya SQM 400
0746750029Mkuu njoo msongora ukaone mil10
asanteKaribuni