Singida ndio home
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 3,192
- 3,353
Chifu wa Wahehe Adam Abdu Sapi Mkwawa
MAZURI NAYOYASIKIA: Anajiheshimu, ni msafi, kaelimika kasoma shule ya matajiri (Iringa international school) ada ni milioni 20 kwa mwaka,
MABAYA NAYOYASIKIA: Ni chotara jambo linalopelekea baadhi ya wahehe kummpiga vita sana lakini naona kasimama kidete, Pia inasemekana hajui kihehe, hili jambo lilipelekea hata Magufuli alipofanya ziara iringa huyu chifu alipoitwa aliishia tu kusema "sina mengi ya kusema namkaribisha Raisi" kiukweli kuna watu tulienda pale kusikia mawili matatu hii ilitukwaza.