Nipe kikosi chako bora kwa miaka 16 iliyopita

1. Oliver Khan
2. Maicon/Dan Alves
3. Paolo Maldini
4, Nemanja Vidic
5. Pique
6. Steven Gerald
7. Cristiano Ronaldo
8. Zinedine Zidane
9. Roberto Bagio
10. Ronaldo de Lima
11. Diego Forlan

Pique huyuhuyu au wa miaka iliyopita
 
Nimeanza kufuatilia international futbol miaka 16 iliyopita! Na hiki ndio kikosi bora zaidi kwa upande wangu! 1.Gigi buffon 2. Cafu 3. Paulo maldini 4. Frank de boer 5. Nesta 6. Deschamps 7. Messi 8. Edgar davids 9. Ronaldo de lima 10. Zidane 11. Ronaldinho natamani kuwaweka c.ronaldo,thiery henry,giggs,bergkamp,cannavaro,xavi......but hawana nafasi!! Wewe chako ni kipi?
Ni dhambi sana kumuacha Xavi Hernandez Creus kiungo anaesifika kwa pasi za uhakika na sio mcheza rafu kumuweka Edgar Davids ambae akicheza vs Barca kadi aidha njano au nyekundu inatoka kwake,Josep Guardiola Sala alisema Xavi ndie mrithi wake,Xavi akasema Andres Iniesta Lujan ndie mrithi wa wote wawili Xavi na Guardiola,viungo kama Gilberto Silva,Sergio Busquets Burgos na Andres Pirlo ni viungo wazuri wanaokaba kiakili wasio na rafu ni nadra kukuta wamepewa hata kadi ya njano
 
Dah sheikh hiyo ni Mnyama Mkubwa Abuja Abajalo Ngilimaa...
1. Matokeo
2. Sagga
3. Modest
4. George Ngasongwa
5. Baba Dimu...

Huo ulikuwa ukuta nguli wa Abajalo.
Abeche pia beki,walikuwa na nyimbo yao moja,hapa Tz kuna timu 3,ya kwanza simba na yanga,ya pili abajalo.
 
japo sijafikisha miaka16 toka nianze kucheki soka.ila full kikosi bola nihiki,1 pt shmichael 2 cuf 3 v lizalazu 4 branc 5 stam 6 makelele 7c ronaldo 8 xavi 9 r de Rima 10 mess 11 overmass.dah yan hpo nisingefungika.
 
japo sijafikisha miaka16 toka nianze kucheki soka.ila full kikosi bola nihiki,1 pt shmichael 2 cuf 3 v lizalazu 4 branc 5 stam 6 makelele 7c ronaldo 8 xavi 9 r de Rima 10 mess 11 overmass.dah yan hpo nisingefungika.
Du! Kwa hao wachezaji uliowataja ni vema ungetuambia na fomesheni itakayofanya hiyo timu iwe ngumu kufungika.
 
Kikosi changu hiki hapa.

1.Van De Sar, 2 Cafu, 3 R. Carlos, 4 Vidic, 5 C Puyol, 6 C Seedolf, 7C. Ronaldo, 8 Zidane, 9 De Lima, 10 Rooney, 11 Messy.

Subs: Oliver Khan, Paul Maldin, Cannavaro, Ronaldinho, Xavi, T Henry, Drogba, Giggsy
 
Nani anaikumbuka hii list?

1) Elias
2) Kilambo
3) Boy Wickens
4) Hassan Gobbos
5) Kapera
6) Gilbert Mahinya
7) Awadh Gessan
8) Abdulrahaman Juma
9) Kitwana Manara (Popat)
10) Abbas Dilunga
11) Juma Bomba

Coach: Victor Stanculescue

Young Africans 1971/2/3/4 ?
 
1. Edwin Van De Sir
2. Dani Alves
3. Paulo Maldini
4. Nemanja Vidic
5. Fabio Canavaro
6. Xavi Hernandez
7. Cristiano Ronaldo
8. Zinedine Zidane
9. Ronaldo de Lima
10. Lionel Messi
11. Ronaldinho Gaucho
 
1. Edwin Van De Sir2. Dani Alves3. Paulo Maldini4. Nemanja Vidic5. Fabio Canavaro6. Xavi Hernandez7. Cristiano Ronaldo8. Zinedine Zidane9. Ronaldo de Lima10. Lionel Messi11. Mtakatifu Ronaldinho Gaucho
yaani asilimia 95 ya vikosi vilivyotajwa basi vina nyota wa AC Milan.duh kweli Milan sumu
 
1 van der Sar
2 nsajigwa/maicon
3 evra/marcelo
4 vidic
5 canavaro
6 ferdinand
7 c. Ronaldo/quaresma/roben
8 zidane/ xavi
9 de lima/rivaldo
10 rooney
11 messi/robinho
 
Kwa anayeijua soka vilivyo na aliyeona soka kwa uhakika ni ngumu sana kutaja wachezaji 11 tu katika hiyo miaka 16, ambayo kwa mahesabu ya haraka inaanzia mwaka 1995 unless atumie mapenzi binafsi na si uwezo halisi wa wachezaji. Ninaamini ili uweze kupata hao wachezaji kuna ligi kadhaa ambazo ndio zina competition kubwa zaidi na zenye mvuto zaidi duniani zikiongozwa na kombe la dunia, kome la ulaya (EURO) na kombe la ulaya la vilabu (UCL)

Ili uweze kupata hiyo list ni lazima kwanza uweke vigezo kadhaa na pia uweke upenzi wa timu pembeni. Ukiangalia uwezo binafsi wa mchezaji, msaada wake katika club yake, umuhimu wake katika timu ya taifa na pia mafanikio aliyoweza kuyapata kama mchezaji na kama timu hapo tayari utakuwa umeweza kuweka vigezo kadhaa vya kuweza kupata hao wachezaji husika.

Nikikumbuka mwaka 1995, ndio mwaka ambao Ajax ilikuwa bingwa baada ya kumfunga AC Milan goli 1 la Patrick Kluivert, kumbuka kuwa AC Milan ilikuwa bingwa 1994. Wakati huo huo Brazil ya kina Romario, Bebeto na kapteni Dunga ilikuwa bingwa wa dunia 1994. Bingwa wa Ulaya kipindi hicho ilikuwa Denmark ya kina Laudrup ambayo kwa hakika wapenzi wengi wa soka tunaamini ilichukua ubingwa huo wa mwaka 1992 kwa bahati ya mtende.

Katika kipindi cha miaka ya 94, 95, 96 ambako ndio hasa mtoa mada anapenda tuanze kuchambua hao wakali ni kipindi ambacho, AC Milan ya kina Geogre Weah, Ajax ya kina Edgar Davids, Mark Overmars, Nwanko Kanu na Van Der Sar zilikuwa zipo katika kiwango cha juu mno na huku Barcelona iliyokuwa na wakali sana kama Romario, Histro Stoichkov na Pep ndio ilikuwa inaanza kushuka baada ya ile wao wanayoiita the dream team ya mwaka 1992. Pia Juventus ya kina del Piero na Fabrizio Ravanelli ilikuwa kati ya timu zenye kiwango cha kuogopwa sana ulaya

Nimejaribu kuzungumzia haya machache katika kutaka kuweka misingi ya wapi tunaanzia kwenye kuwachambua hao wachezaji bora 11, maana kila mmoja anajua wapi tunaishia ambako ni mwaka huu !

Binafsi nitataja wachezaji 20 ambao kwangu naona kuwa wamekuwa au walikuwa ni wakali zaidi, na hivyo sitapanga kikosi cha hao wachezaji 11.
Zinedine Zidane. Huyu ni midfield maestro. Mchezaji bora zaidi kutokea katika hicho kipindi mtoa mada anachokisema.
Edgar Davids. Huyu ni holding midfielder mkali zaidi niliyewahi kumuona akicheza. Ninaamini Davids ndio kiungo bora zaidi wa kukaba katika hiki kipindi. Combination ya Davids na Zizzou katika midfielder waliifanya Juventus kuwa timu kali sana mwishoni mwa miaka ya 90.
Ronaldinho Gaucho
Alessandro Del Piero
Louis Figo
Ronaldo De Lima
Romario
Edwin Van Der Sar
Paolo Maldini
Alessandro Nesta
Marcos Evangelista De Moraes wengi mnamjua kwa jina moja la Cafu
Roberto Carlos
Lionel Messi
Rivaldo Vitor Borba Ferreira
Oliver Khan
Christiano Ronaldo
Gabriel Batistuta
Erick Cantona
Mark Overmars
na wa 20 ni Histro Stoichkov.

Histro Stoichkov huyu kwangu ndiye mchezaji mkali zaidi niliyewahi kumuona wa dead balls. Japokuwa Juninho Pernambucano naye alikuwa ni hatari sana wa dead balls, ila hayupo katika list yangu ya wachezaji 20.
Mkuu wewe ni mchambuzi mzuri wa soka na umenikosha asilani.Tatizo moja ulilolionyesha ni kuwa katika miaka yote hujawahi kuona hata mchezaji mmoja wa kiafrika ambaye alikukosha,kweli?

Fikiria watu kama akina George Weah,Nwanko Kanu,Austin "J.J" Okocha,Celestine Babayaro,Lacas Radebe,Mustapha Hadji,Samuel Eto'o Fils,Mark Fish na wengine wengi wa kiafrika ambao nimewasahau hapa.Kizazi cha akina Roger Milla na akina Kalusha Bwalya sijawaandika hapa coz mtoa mada amesema tuanzie miaka 16 iliyopita tu!
 
luigi buffon................... nyanda
gianluca zambrotta......shavu la kulia
paolo maldini................full back right
canavaro na nesta.......central defenders
amdy faye...................defending midfielder kazi ya kuharibu dimba la chini ndo lake
juan roman riquelme.........................winga ya kulia
alvaro recoba...................winga ya kushoto
pavel nedved...................kiungo mshambuliaji
gabriel batistuta batigol na george weah........strikers



zizzou na gaucho wanapasha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom