Nipe kikosi chako bora kwa miaka 16 iliyopita

Tolowski

Senior Member
Apr 28, 2011
122
20
Nimeanza kufuatilia international futbol miaka 16 iliyopita! Na hiki ndio kikosi bora zaidi kwa upande wangu! 1.Gigi buffon 2. Cafu 3. Paulo maldini 4. Frank de boer 5. Nesta 6. Deschamps 7. Messi 8. Edgar davids 9. Ronaldo de lima 10. Zidane 11. Ronaldinho natamani kuwaweka c.ronaldo,thiery henry,giggs,bergkamp,cannavaro,xavi......but hawana nafasi!! Wewe chako ni kipi?
 
1. Gianluca Buffon
2. Fernando Hierro
3. Paulo Maldini
4. Vieira
5. Didier Deschamps
6. Xavi Hernandes
7. Luis figo
8. Edgar Davids / JJ-Okocha
9. Ronaldo de lima/G.Weah
10. Zidane
11. Denilson
 
1.Thomas Nkono
2.Cafu
3.Paolo Maldini
4. Júnior Baiano
5.Franco baresi
6.Hamis GAGA gagarino
7.Boli zozo
8.Zidane
9.Ronaldo De lima
10.Joe Kadenge
11.Ronaldinho
 
  1. Gianluig "Gigi" Buffon
  2. Lilian Thuram
  3. Roberto Carlos
  4. Franco Baresi
  5. Allesandro Nesta
  6. Claude Makelele
  7. Lionel Messi
  8. Fernando Redondo
  9. Ronaldo De Lima
  10. Zinedine Zinane
  11. Cristiano Ronaldo
 
1. Julio Sanchez
2. Cafu
3. Roberto Carlos
4. Nemanja Vidic
5. Marcel Desaily
6. Didier Deschamps
7. Angelo Dilivio
8. Youri Djokaef
9. Stephen Guivach
10. Zinedine Zidane
11. Ryan Giggs
 
Nimeanza kufuatilia international futbol miaka 16 iliyopita! Na hiki ndio kikosi bora zaidi kwa upande wangu! 1.Gigi buffon 2. Cafu 3. Paulo maldini 4. Frank de boer 5. Nesta 6. Deschamps 7. Messi 8. Edgar davids 9. Ronaldo de lima 10. Zidane 11. Ronaldinho natamani kuwaweka c.ronaldo,thiery henry,giggs,bergkamp,cannavaro,xavi......but hawana nafasi!! Wewe chako ni kipi?

Mimi niko proud na local soccer banaaaaa!

Mwameja
Kolongo
Mwaliza
Napili
Kasa Musa
Ali Maumba
Ngulungu
Mwakuluzo
Mchunga
Razak Careca
Mgunda

Hapo ilikuwa hakuna cha Simba, Yanga, Pamba wala Majix2
 
Naombeni mtaje tisa, halafu wawili ni Zidane na Ronaldinho, yaani kila kikosi kitachotajwa wasikosekane hao wawili.
1.Peter Schmichel
2.Cafu
3.Paolo Maldini
4.Mathias Sammer
5.Franco Bares
6.Fernando Redondo
7.Cyril Makanaki
8.Ronaldo de Lima
9.Lother Mathaeus.
 
Naombeni mtaje tisa, halafu wawili ni Zidane na Ronaldinho, yaani kila kikosi kitachotajwa wasikosekane hao wawili.
1 Peter Schmichel
2 Cafu
3 Paolo Maldini
4 Mathias Sammer
5 Franco Bares
6 Fernando Redondo
7 Cyril Makanaki
8 Ronaldo de Lima
9 Lother Mathaeus.
 
1. Oliver Khan
2. Maicon/Dan Alves
3. Paolo Maldini
4, Nemanja Vidic
5. Pique
6. Steven Gerald
7. Cristiano Ronaldo
8. Zinedine Zidane
9. Roberto Bagio
10. Ronaldo de Lima
11. Diego Forlan
 
Mimi niko proud na local soccer banaaaaa!

Mwameja
Kolongo
Mwaliza
Napili
Kasa Musa
Ali Maumba
Ngulungu
Mwakuluzo
Mchunga
Razak Careca
Mgunda

Hapo ilikuwa hakuna cha Simba, Yanga, Pamba wala Majix2
Wewe unatoka barabara ya12? Wapi Victor Mkanwa?
 
1. Gianluca Buffon
2. Fernando Hierro
3. Paulo Maldini
4. Vieira
5. Didier Deschamps
6. Xavi Hernandes
7. Luis figo
8. Edgar Davids / JJ-Okocha
9. Ronaldo de lima/G.Weah
10. Zidane
11. Denilson

Kama mambo yenyewe ndio hayo Vieira na Deschamp wanamaliza basi sintoshangaa kuona siku moja zidane anakuwa Kipa
 
teh teh asilimia kubwa ya waliotaja vikosi naona wamewataja wachezaji wa AC Milan.
Hii ina maana kuwa Milan ndio mafanikio ya soka au?
 
kwa mujibu wa mpenzi wangu ambaye yeye si Memba wa Jamiiforums ameomba niwasilishe 1st eleven yake.
1. Buffon 'juve'
2. Antonio Benarivo 'parma'
3. PM (c) 'Milan'
4. Alesandro Billy Costacurta 'milan'
5. Cirro Ferrara 'juve'
6. Diego Simeone 'Inter'
7. Antonio Conte 'Juve'
8. Juan Sebastian Veron 'Lazio'
9. Van Barsten 'milan'
10. Gullit 'Milan'
11. Gang Chomba 'Abajalo'

Hakunisahau mzazi mwenzie, kama mnavyoona hapo kanitumbukiza namba 11 hatari ya Abajalo ngilimaa
 
kikosi changu mimi kitakuja baada wa Belo, Barantanda, Comrade companero, na Arsene Wenger kuweka vikosi vyao
 
1.Juma pondamali
2.yusuf bana
3.ahmed amasha
4.jela mtagwa
5.leodgar tenga
6.charles bonface mkwassa "master"
7.omari hussein
8.nicodemus njohole
9.peter tino
10.zamoyoni mogella "golden boy"
11.thuwein ally
hii ni tangu kuanzishwa kwa taifa la tanzania!
 
Kazi ilikuwa ngumu sana hatimaye wakapatikana hawa

1.Peter Schiemichel
2.Lilian Thuram
3.Paulo Maldini
4.Fabio Canavaro
5.Franco Baresi
6.Roy Keane
7.Pavel Nedved
8.Zinedine Zidane
9.Ronaldo de Lima
10.Raul Gonzalenz
11.Ronaldinho

Substitution
Edwin Van de Sar
Cafu
Roberto Carlos
Fernando Hierro
Roberto Ayala
Genaro Gattuso
Gabriel Batistuta
Samuel Etoo
Ryan Giggs
 
teh teh asilimia kubwa ya waliotaja vikosi naona wamewataja wachezaji wa AC Milan.
Hii ina maana kuwa Milan ndio mafanikio ya soka au?
Tumezingatia miaka 16 iliyopita, Milan kweli ilikuwa juu, nakumbuka kuna mechi ilikwisha sikujua hata jezi ya kipa ilikuwa na rangi gani, timu pinzani ilikuwa shida kuvuka mstari wa kati!
 
Tumezingatia miaka 16 iliyopita, Milan kweli ilikuwa juu, nakumbuka kuna mechi ilikwisha sikujua hata jezi ya kipa ilikuwa na rangi gani, timu pinzani ilikuwa shida kuvuka mstari wa kati!

Kweli mkuu, ni Timu gani ishawahi kuwa na 'World Player of the Year= George Weya, European Player of the Year= Roberto Baggio na Top scorer wa Ligue 1= Jean Pierre Papin. Vigogo wote hawa wakipiginia Position no 9, ya Milan. Wacha bwana siku hizo Milan hawashikiki!!!!!!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom