Nimeanza kufuatilia international futbol miaka 16 iliyopita! Na hiki ndio kikosi bora zaidi kwa upande wangu! 1.Gigi buffon 2. Cafu 3. Paulo maldini 4. Frank de boer 5. Nesta 6. Deschamps 7. Messi 8. Edgar davids 9. Ronaldo de lima 10. Zidane 11. Ronaldinho natamani kuwaweka c.ronaldo,thiery henry,giggs,bergkamp,cannavaro,xavi......but hawana nafasi!! Wewe chako ni kipi?