Kuelewa, umeelewa financial services. Halafu acha uongo kwamba siyo mke wa mtu. Una maana gani unaposema hivyo? Sema hajaja rasmi. Nikukumbushe?Mmh kama sijaelewa hivi! Ama kwakua siyo mke wa mtu labda.
Wake kwa waume za watu mmeelewa huu uzi? If yes msaada tafadhari.
Kamaliza kila kitu tayarimiaka ya nyuma walilalia vitanda vya 3*6, nadhani ilipelekea mahusiano ya wanandoa kudumu, imagine wanakorofishana asubuhi ila usiku ndo hivo tena kitanda hakoruhusu kila mtu kuchukua upande wake, so wanalala kwa kukaribiana kabisa, na kwakua mablanket yalikua adimu iliwalazimu kukumbatiana kulipunguza. Ndo maana wanandoa zamani walikua na uwezo wa kukorofishana leo ila kesho wakaamka kitu kimoja tena
hizi 6*6 kiukweli sivielewi, heri 5*6
NB:- I dont stand to be corrected!
πππππππ
Kuelewa, umeelewa financial services. Halafu acha uongo kwamba siyo mke wa mtu. Una maana gani unaposema hivyo? Sema hajaja rasmi. Nikukumbushe?
Kumbe haujaolewa mkuu? Basi ngoja tujeMmh kama sijaelewa hivi! Ama kwakua siyo mke wa mtu labda.
Wake kwa waume za watu mmeelewa huu uzi? If yes msaada tafadhari.
Hata Kama angekuwa wa brown ingesaidia nini..?