Nimeona magazeti ya NIPASHE na The Guardian yameungana na magazeti ya serikali kutokuandika habari kubwa kwa sasa hivi hapa nchini inayohusu ushahidi uliotolewa jana wa kununuliwa kwa madiwani wa chadema.
Je ni woga wa wanahabari?
Au wameona ni uchochezi?
Je hii siyo habari kubwa?
Je ni woga wa wanahabari?
Au wameona ni uchochezi?
Je hii siyo habari kubwa?