Nionavyo: Upinzani ni mfano wa kiatu kilichochakaa na CCM ni mfano wa kiatu kilichohafuka

FPT

JF-Expert Member
Mar 23, 2017
1,201
1,839
Nina imani kuwa sote humu jukwaani tumewahi kuvaa viatu na tulipokuwa watoto tulikuwa tunasikia raha kununuliwa kiatu kipya na kukivaa na unatamani huende huku na kule kuwaonesha wenzako uzuri wa kiatu chako. Vilevile wengi wamekumbwa na aibu kwa kuvaa viatu vilivyochakaa na Yule ambaye kava kiatu kilichochafuka atakifuta tu na kuondokana na aibu hiyo.

Lengo la mada hii ni kuonesha ni namna gani upinzani ni kama kiatu kilichochakaa na kustahili kutupwa na CCM ni kama kiatu kilichochafuka cha kustahili kufuta.

Upinzani ni kama kiatu kilichochakaa na kustahili kutupwa lakini wamiliki wa kiatu hicho wanaendelea kukivaa. Kuendelea kuvaa hicho kiatu kama nilivyokwisha sema hapo juu ni aibu na ndivyo upinzani ulivyo umechakaa na kuchoka sana kiasi cha kufanya wanaoushabikia sasa waone aibu kama wamepaka mavi usonii.

Kitu kikichakaa kinahitaji marekebisho makubwa ama kununua kingine na si kuziba viraka, hali ni tofauti na upinzani hawafanyi marekebisho makubwa wala kuunda mfumo mpya ila wanafanya kuziba viraka mfumo wao wa zamani na kujidanganya ni upinzani mpya kumbe ni wa zamani lakini umefuikwa viraka.

CCM ni kama kiatu kilichochafuka nacho hustahili kufutwa tu. Hii ndio kazi mwenyekiti wetu wa CCM alipoingia tu kwenye uenyekiti akaanza kufuta uchafu( CCM ya zamani) na baada ya kung’aa ikabatizwa jina na kuitwa CCM mpya. CCM mpya inang’aa kama kiatu kipya kabisa.

Pongezi kwa mwenyekiti wetu kwa kufuta uchafu kiatu( CCM ya zamani) na kuonekana kipya kabisa. CCM mpya ni mfano wa uzalendo, uwajibikaji,utendaji na ufanisi wa mwenyekiti wetu

Karlo Mwilapwa
 
Nina imani kuwa sote humu jukwaani tumewahi kuvaa viatu na tulipokuwa watoto tulikuwa tunasikia raha kununuliwa kiatu kipya na kukivaa na unatamani huende huku na kule kuwaonesha wenzako uzuri wa kiatu chako. Vilevile wengi wamekumbwa na aibu kwa kuvaa viatu vilivyochakaa na Yule ambaye kava kiatu kilichochafuka atakifuta tu na kuondokana na aibu hiyo.

Lengo la mada hii ni kuonesha ni namna gani upinzani ni kama kiatu kilichochakaa na kustahili kutupwa na CCM ni kama kiatu kilichochafuka cha kustahili kufuta.

Upinzani ni kama kiatu kilichochakaa na kustahili kutupwa lakini wamiliki wa kiatu hicho wanaendelea kukivaa. Kuendelea kuvaa hicho kiatu kama nilivyokwisha sema hapo juu ni aibu na ndivyo upinzani ulivyo umechakaa na kuchoka sana kiasi cha kufanya wanaoushabikia sasa waone aibu kama wamepaka mavi usonii.

Kitu kikichakaa kinahitaji marekebisho makubwa ama kununua kingine na si kuziba viraka, hali ni tofauti na upinzani hawafanyi marekebisho makubwa wala kuunda mfumo mpya ila wanafanya kuziba viraka mfumo wao wa zamani na kujidanganya ni upinzani mpya kumbe ni wa zamani lakini umefuikwa viraka.

CCM ni kama kiatu kilichochafuka nacho hustahili kufutwa tu. Hii ndio kazi mwenyekiti wetu wa CCM alipoingia tu kwenye uenyekiti akaanza kufuta uchafu( CCM ya zamani) na baada ya kung’aa ikabatizwa jina na kuitwa CCM mpya. CCM mpya inang’aa kama kiatu kipya kabisa.

Pongezi kwa mwenyekiti wetu kwa kufuta uchafu kiatu( CCM ya zamani) na kuonekana kipya kabisa. CCM mpya ni mfano wa uzalendo, uwajibikaji,utendaji na ufanisi wa mwenyekiti wetu

Karlo Mwilapwa
Mlinganyo usio sahili.Kiatu kivaliwe miaka hamsini mfululizo kisichakae na kunuka?Halafu kingine miaka ishirini na mbili kichushe?There is a hole in the upper side of your head, fella!
 
Brother wangu alikuwa anapenda sana kuazima viatu vyangu wakati hata yeye alikuna navyo. Nikagundua kuwa ama anaona uvivu kuvisafisha viatu vyake (maana zilikuwa ni raba) au alikuwa anaviwekeleza ili vidumu muda mrefu. Bahati mbaya vikambana, akaambulia kushindwa kuvivaa!
 
Umeandika ukweli mtupu! shida ni kuwa ni nani mwenye ujasiri wa kuinama na kukifuta kiatu hicho kichafu.
Ni aibu sana kuvaa kiatu kipya kizuri lakini kichafu nje na ndani. Uchafu ni adui haukubaliki kwa vyovyote kwanini uonekane kwenye kiatu kipya?
Viatu chakavyu ni taswira ya uvumilivu unaotokana na uwezo mdogo wa kiuchumi.
Watoto wa baba mmoja wakivaa viatu hivyo aibu inakwenda kwa baba yao.
UCHAFU na UCHAKAVU bora nini?
Nina imani kuwa sote humu jukwaani tumewahi kuvaa viatu na tulipokuwa watoto tulikuwa tunasikia raha kununuliwa kiatu kipya na kukivaa na unatamani huende huku na kule kuwaonesha wenzako uzuri wa kiatu chako. Vilevile wengi wamekumbwa na aibu kwa kuvaa viatu vilivyochakaa na Yule ambaye kava kiatu kilichochafuka atakifuta tu na kuondokana na aibu hiyo.

Lengo la mada hii ni kuonesha ni namna gani upinzani ni kama kiatu kilichochakaa na kustahili kutupwa na CCM ni kama kiatu kilichochafuka cha kustahili kufuta.

Upinzani ni kama kiatu kilichochakaa na kustahili kutupwa lakini wamiliki wa kiatu hicho wanaendelea kukivaa. Kuendelea kuvaa hicho kiatu kama nilivyokwisha sema hapo juu ni aibu na ndivyo upinzani ulivyo umechakaa na kuchoka sana kiasi cha kufanya wanaoushabikia sasa waone aibu kama wamepaka mavi usonii.

Kitu kikichakaa kinahitaji marekebisho makubwa ama kununua kingine na si kuziba viraka, hali ni tofauti na upinzani hawafanyi marekebisho makubwa wala kuunda mfumo mpya ila wanafanya kuziba viraka mfumo wao wa zamani na kujidanganya ni upinzani mpya kumbe ni wa zamani lakini umefuikwa viraka.

CCM ni kama kiatu kilichochafuka nacho hustahili kufutwa tu. Hii ndio kazi mwenyekiti wetu wa CCM alipoingia tu kwenye uenyekiti akaanza kufuta uchafu( CCM ya zamani) na baada ya kung’aa ikabatizwa jina na kuitwa CCM mpya. CCM mpya inang’aa kama kiatu kipya kabisa.

Pongezi kwa mwenyekiti wetu kwa kufuta uchafu kiatu( CCM ya zamani) na kuonekana kipya kabisa. CCM mpya ni mfano wa uzalendo, uwajibikaji,utendaji na ufanisi wa mwenyekiti wetu

Karlo Mwilapwa
 
Brother wangu alikuwa anapenda sana kuazima viatu vyangu wakati hata yeye alikuna navyo. Nikagundua kuwa ama anaona uvivu kuvisafisha viatu vyake (maana zilikuwa ni raba) au alikuwa anaviwekeleza ili vidumu muda mrefu. Bahati mbaya vikambana, akaambulia kushindwa kuvivaa!
kaka yako alifanya vizuri anavaa viatu vinavyombana huku akijua maumivu ya kubana kwa kiatu anayajua yeye lakini watu wanaona kavaa kiatu safi , kipya na kinang'aa. uzuri ni kwamba kaka yako atajua ni kwa namna gani atatua tatizo la kubana na kitakaa poa siku nyingine. je, angekuwa anavaa viatu chakavu si ungemcheka?
 
Umeandika ukweli mtupu! shida ni kuwa ni nani mwenye ujasiri wa kuinama na kukifuta kiatu hicho kichafu.
Ni aibu sana kuvaa kiatu kipya kizuri lakini kichafu nje na ndani. Uchafu ni adui haukubaliki kwa vyovyote kwanini uonekane kwenye kiatu kipya?
Viatu chakavyu ni taswira ya uvumilivu unaotokana na uwezo mdogo wa kiuchumi.
Watoto wa baba mmoja wakivaa viatu hivyo aibu inakwenda kwa baba yao.
UCHAFU na UCHAKAVU bora nini?
kiatu hiki aliyekivaa kinamfaa sana , anapendeza mno mimi napenda aendelee kikivaa tu na huwa haitaji mtu wa kukifuta anakifuta mwenyewe. kwangu mimi ni heri kuwa na kiatu kichafu kuliko kupata aibu kwa kuvaa kiatu kilichochakaa
 
Hii ID iko shift mwanzo mwisho!!!Nways huna hoja zaidi ya porojo tu!Kwanini useme CCM ni kiatu kichafu wakati huo huo unasema kimesafishwa na Jiwe?Si ungesema ccm ni kiatu kisafi?????
Ni bora uvae kiatu kilichochoka ila kisafi kuliko kiatu kipya ila kinatoa uvundo!!!
 
Nina imani kuwa sote humu jukwaani tumewahi kuvaa viatu na tulipokuwa watoto tulikuwa tunasikia raha kununuliwa kiatu kipya na kukivaa na unatamani huende huku na kule kuwaonesha wenzako uzuri wa kiatu chako. Vilevile wengi wamekumbwa na aibu kwa kuvaa viatu vilivyochakaa na Yule ambaye kava kiatu kilichochafuka atakifuta tu na kuondokana na aibu hiyo.

Lengo la mada hii ni kuonesha ni namna gani upinzani ni kama kiatu kilichochakaa na kustahili kutupwa na CCM ni kama kiatu kilichochafuka cha kustahili kufuta.

Upinzani ni kama kiatu kilichochakaa na kustahili kutupwa lakini wamiliki wa kiatu hicho wanaendelea kukivaa. Kuendelea kuvaa hicho kiatu kama nilivyokwisha sema hapo juu ni aibu na ndivyo upinzani ulivyo umechakaa na kuchoka sana kiasi cha kufanya wanaoushabikia sasa waone aibu kama wamepaka mavi usonii.

Kitu kikichakaa kinahitaji marekebisho makubwa ama kununua kingine na si kuziba viraka, hali ni tofauti na upinzani hawafanyi marekebisho makubwa wala kuunda mfumo mpya ila wanafanya kuziba viraka mfumo wao wa zamani na kujidanganya ni upinzani mpya kumbe ni wa zamani lakini umefuikwa viraka.

CCM ni kama kiatu kilichochafuka nacho hustahili kufutwa tu. Hii ndio kazi mwenyekiti wetu wa CCM alipoingia tu kwenye uenyekiti akaanza kufuta uchafu( CCM ya zamani) na baada ya kung’aa ikabatizwa jina na kuitwa CCM mpya. CCM mpya inang’aa kama kiatu kipya kabisa.

Pongezi kwa mwenyekiti wetu kwa kufuta uchafu kiatu( CCM ya zamani) na kuonekana kipya kabisa. CCM mpya ni mfano wa uzalendo, uwajibikaji,utendaji na ufanisi wa mwenyekiti wetu

Karlo Mwilapwa
Hakuna namna mwambieni Jiwe muda wa kufungasha virago ni huu 2020 ni membe tu
 
Hakuna namna mwambieni Jiwe muda wa kufungasha virago ni huu 2020 ni membe tu
kama wanaCCM na watanzania wataamu iwe hivyo itakuwa sawasawa na mpango wa Mungu ila kama watanzania na wanaCCM watamkataa basi atabaki rais wa mioyo yenu kama Lowassa
 
Back
Top Bottom