M.E.M.A
JF-Expert Member
- Jul 27, 2013
- 1,373
- 472
Hii itakuwa post ya mwisho kwa mwaka huu inayohusu mapenzi:
Mapenzi ni kazi...kwa hiyo fanya kazi acha utani. Ukiifanyia mzaha itakutoa usaha. Ila pia kitabu cha Maombolezo/Mhubiri (kama sijakosea)...kinasema "nawaandikia enyi binti zangu wadogo..msiyachochee mapenzi kabla ya wakati wake". Na kama umeshayachochea yamekolea moto na unashindwa kuyazima...mmm hapa sijui nikushauri ufanyeje..(ila jibu rahisi ni ACHA).
Ikiwa kama kazi/taasisi/ofisi..basi tengenezeni Mission, Vision, Goals...identify your objectives ziwe clear. .na zinazoeleweka. Wekeni plan..short term na longterm, gawaneni majukumu pia na yatekelezeni kwa moyo mmoja. Ikiwa upo kwenye relation na hakuna hata kimojawapo ya vitatu au vinne tajwa hapo juu basi SHTUKA/AMKA!!. Fanya matengenezo.
Kama nilivyoanza namalizia hivi: Mapenzi ni kazi..yanahitaji
-discpline:
Huwezi kufanikiwa katika kazi kama huna discipline.
-Devotion:
Kazi inahitaji kujitoa, nung'unika, lalamika lakini kazi fanya.
-akili timamu:
Ukiwa huna akili timamu tu ujue kazi huna. Akili pia itumie humu...effectively
-ratiba:
Kama kazi zilivyo na ratiba, pia na mapenzi ni hivyo hivyo. Kama ni mhasibu sio mwaka mzima unafanya reconciliation tuu..kuna wakati wa kupost, kutoa statement, kuandaa payroll. .etc. Apply that. Lazima mjipange na mtengeneze time frame.
-report/taarifa:
Kama vile inavyokupasa kutoa taarifa mara kwa mara kwa your superior or subordinates. .then fanyeni hivyo hivyo. Bila taarifa hamtajua mnaenda mbele au mkengemkenge.
-Teamwork
Shirikianeni vyema. Share your happiness, your sadness, problems, success and whatsoever. Wakati mwingine sio lazima kutumia teamwork..unaweza ukafanya individually lakini mwisho wa siku taarifa muhimu.
'Zifwate kama unaona zinakusaidia.'
****HERI YA MWAKA MPYA 2014****
Mapenzi ni kazi...kwa hiyo fanya kazi acha utani. Ukiifanyia mzaha itakutoa usaha. Ila pia kitabu cha Maombolezo/Mhubiri (kama sijakosea)...kinasema "nawaandikia enyi binti zangu wadogo..msiyachochee mapenzi kabla ya wakati wake". Na kama umeshayachochea yamekolea moto na unashindwa kuyazima...mmm hapa sijui nikushauri ufanyeje..(ila jibu rahisi ni ACHA).
Ikiwa kama kazi/taasisi/ofisi..basi tengenezeni Mission, Vision, Goals...identify your objectives ziwe clear. .na zinazoeleweka. Wekeni plan..short term na longterm, gawaneni majukumu pia na yatekelezeni kwa moyo mmoja. Ikiwa upo kwenye relation na hakuna hata kimojawapo ya vitatu au vinne tajwa hapo juu basi SHTUKA/AMKA!!. Fanya matengenezo.
Kama nilivyoanza namalizia hivi: Mapenzi ni kazi..yanahitaji
-discpline:
Huwezi kufanikiwa katika kazi kama huna discipline.
-Devotion:
Kazi inahitaji kujitoa, nung'unika, lalamika lakini kazi fanya.
-akili timamu:
Ukiwa huna akili timamu tu ujue kazi huna. Akili pia itumie humu...effectively
-ratiba:
Kama kazi zilivyo na ratiba, pia na mapenzi ni hivyo hivyo. Kama ni mhasibu sio mwaka mzima unafanya reconciliation tuu..kuna wakati wa kupost, kutoa statement, kuandaa payroll. .etc. Apply that. Lazima mjipange na mtengeneze time frame.
-report/taarifa:
Kama vile inavyokupasa kutoa taarifa mara kwa mara kwa your superior or subordinates. .then fanyeni hivyo hivyo. Bila taarifa hamtajua mnaenda mbele au mkengemkenge.
-Teamwork
Shirikianeni vyema. Share your happiness, your sadness, problems, success and whatsoever. Wakati mwingine sio lazima kutumia teamwork..unaweza ukafanya individually lakini mwisho wa siku taarifa muhimu.
'Zifwate kama unaona zinakusaidia.'
****HERI YA MWAKA MPYA 2014****