Nionavyo mimi TBC mmemuaibisha Waziri Amos Makala..

sexologist

JF-Expert Member
Dec 5, 2010
2,283
976
Nilikuwa nafatilia taarifa ya habari ya TBC 1 jana usiku, kati ya habari zilizonivutia ni ya serikali kupitia upya mkataba wa kampuni ya Startimes kutokana na malalamiko ya wafanyakazi kunyanyaswa na uongozi!

Kilinisikitisha ni pale TBC 1 waliporusha hewani sehemu ya mazungumzo ya naibu waziri Amos Makala na uongozi kwa lugha ya kiingereza.. Aisee TBC wasingefanya hvyo,,, jamaa anauliza sensitive ishu kwenye uongozi huku anacheka cheka.. Ni ishu ya michango ya NSSF za wafanyakazi kama inapelekwa kwenye shirika hilo la hifadhi ya jamii, mbaya zaidi kiingereza kibovu, mpaka yule aliyekuwa anaulizwa akaanza kutabasamu huku yeye akionekana na confidence kuliko waziri.. Wat a shame!

Waziri anauliza ”a.a.a.a zeee zeee nssf contribution.. Are u... Are u..” Kabla hajamaliza yule dada wa kichina kashajibu.. Anawauliza tena ”do u have a licence” wanasema yes we have..

Yaani very shallow s questions.. Yaani anauliza huku akitegemea majibu ya Yes.. He was not technical at all, rather than more friendly to the people alleged to violent and ignore tzs employees welfare.. Not him to be harsh but at least technical, as he was covered by the media.. Shallow English, TBC 1 shuldnt aired it!

Mbumbumbu intelligent.
 
can we have the clip pleaseeee.

Ebwana ile ngoma namimi imenisikitisha sana, nikajuta kwanini siku irekodi, japo kuwa Kujua kiingereza siyo ishu sana maana ni ugonjwa wa tuliowengi ila ni namna alivyokuwa anauliza maswali ki-layman utadhani mtoto asiyejua kusoma vizuri akisoma questionnaire yenye open ended questions ptuu!!!!!!!!!
 
hata simu ya mchina bro?
ntaitafuta ktk blog ya kennedy habari ni habari
sina hakika kama ataweka manake siku kibao hajaupdate blog yake
ni vema tumejua tuna mawaziri makanjanja.
 
Ile the the the NSSF na the the the contribution anaiga kwa Mk.we.re and you know the the theee people are are watchingi me and and and you still bado taking my my myyy picture.......!
 
Nilikuwa nafatilia taarifa ya habari ya TBC 1 jana usiku, kati ya habari zilizonivutia ni ya serikali kupitia upya mkataba wa kampuni ya Startimes kutokana na malalamiko ya wafanyakazi kunyanyaswa na uongozi!

Kilinisikitisha ni pale TBC 1 waliporusha hewani sehemu ya mazungumzo ya naibu waziri Amos Makala na uongozi kwa lugha ya kiingereza.. Aisee TBC wasingefanya hvyo,,, jamaa anauliza sensitive ishu kwenye uongozi huku anacheka cheka.. Ni ishu ya michango ya NSSF za wafanyakazi kama inapelekwa kwenye shirika hilo la hifadhi ya jamii, mbaya zaidi kiingereza kibovu, mpaka yule aliyekuwa anaulizwa akaanza kutabasamu huku yeye akionekana na confidence kuliko waziri.. Wat a shame!

Waziri anauliza ”a.a.a.a zeee zeee nssf contribution.. Are u... Are u..” Kabla hajamaliza yule dada wa kichina kashajibu.. Anawauliza tena ”do u have a licence” wanasema yes we have..

Yaani very shallow s questions.. Yaani anauliza huku akitegemea majibu ya Yes.. He was not technical at all, rather than more friendly to the people alleged to violent and ignore tzs employees welfare.. Not him to be harsh but at least technical, as he was covered by the media.. Shallow English, TBC 1 shuldnt aired it!

Mbumbumbu intelligent.

Ahsante TBC kwa kutuonesha aina ya watu ambao Kikwete anapenda kufanya nao kazi.
Ila mi simshangai Makala, Kikwete mwenyewe mambo mengi sensitive huwa anauliza/kuyajibu kimasihara masihara. Unakumbuka alivyojibu kwa nini Tanzania ni maskini?
 
Siku zote nasema uteuzi uzingatie uwezo na changamoto mtu atakazokutana nazo aweze kukabiliana nazo sasa ukileta ishu za ushkaji na nini na nini ndio haya ya kumbuka mbele ya umma.
 
Ebwana ile ngoma namimi imenisikitisha sana, nikajuta kwanini siku irekodi, japo kuwa Kujua kiingereza siyo ishu sana maana ni ugonjwa wa tuliowengi ila ni namna alivyokuwa anauliza maswali ki-layman utadhani mtoto asiyejua kusoma vizuri akisoma questionnaire yenye open ended questions ptuu!!!!!!!!!

I miss man man at Cassa Club Mikocheni. Hayo mambo ya kuwavunjia mayai wachina wakati yeye mluguru sijui mzigua wa mvomero, wapi na wapi
 
Back
Top Bottom