Kweli sikujua kabisa, na wala sikutegemea kama naye ni walewale mafisadi, nimekata tamaa kabisa, niliyemtegemea kumbe siye. Yeye anafikiri ufisadi ni kukwapua mapesa na kuingia mikataba ya kimangungo tu hajui kwamba hata kutumia rasilimali za taifa kwa faida yake ndo ufisadi mbaya zaidi. Nitafuatilia zaidi kuona kama mafundi wake watatoka jkt au magereza.
Mi nimefika kibaoni hivi karibuni na nimekuta wameshazungusha fensi eneo ambalo atajengewa nyumba nje kidogo ya eneo ambalo series ya rest house zimejengwa. Sijakuta wanajeshi lakini nimegundua kule Mpanda kuna activities nyingi sana za magari ya jeshi kwani nimekutana nayo karibu 30
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.