Pinda ni Fisadi tu hana mpango wowote hana akili zake hazina tofauti na Makamba:coffee:
You are very right. Pinda si mtoto wa mkulima kama anavyopenda tumtambue, ni zao la mafisadi, mtetezi wa mafisadi, dictator mkubwa na mnafiki anayepuliza huku na huku ili mradi tuu matakwa ya mafisadi ( bwana zake ) yatimie. Hana muono wa mbali, anawaadaa wananchi kwa kulia na kujifanya anawatetea kumbe anawanyonga. I hate Pinda and his BOSS