Ufipa-Kinondoni
JF-Expert Member
- Jan 3, 2012
- 4,582
- 2,783
Nimesoma Nyakati na wakati nikaona haya. Nape atakuwa Katibu Mkuu wa CCM wakati wa Mungu utakapo wadia.
Najua wengi watabisha ila ndo ukweli mchungu.
Nimejifunza sana kwa JPM, Malima ndo huyo kala shavu pamoja na kuonekana yuko kinyume.
Najua wengi watabisha ila ndo ukweli mchungu.
Nimejifunza sana kwa JPM, Malima ndo huyo kala shavu pamoja na kuonekana yuko kinyume.